ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,767
- 6,575
Yani hilo halizuiliki kaka before Xmass lazima Man Utd iwe kileleni, tena shukuru sana Tot Spurs walifungwa last match manake mngerudi nafasi ya 3 huko.
bado kabisa hapo na jihakikishia kukaa juu baada ya kuchukua point zangu tatu kwa arsenal halafu nyie na najua kabisa msipo pigwa basi mtaangaikia droo sawa bado na imani kubwa mpaka xmas the citizens tupo juu subiri muone hakuna ndumba hapa..
