The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Pep kwangu bado ni one of the best coaches, top 3 kama siyo top 5.

Swala la kutochukua UEFA akiwa na timu nzuri halisababishi mimi nimtoe kwenye makocha wazuri.

Shida moja inayombana ni flexibility, anataka kutuprove tofauti kuhusi tik tak yake, lakini muda unaenda na hapati ile exact fit ya kujaza puzzle yake.

Ni swala la muda, anaweza kupata pieces za kujazia puzzle akashinda UEFA, au akaamua kuwa flexible kwenye style yake ya mpira akachukua.
Sawa Mkuu
 
Adjustments.jpg
 
Haha...! haka kahoja watu wanakapita kama vile hawakaoni lakini maajabu ya mpira huwa hayana kanuni, usishangae yakitokea yasiyokuwa hayakutarajiwa watu wkakafichua upya na kukaona kana maana tena(ni mtizamo wangu tu).

Mkuu tatizo watu hawaangalii mpira wamebaki na majina yao eti timu kubwa,

Kama mpira ulikuwa umeangalia unakupa picha kama hii timu itashinda au itafungwa?

Man city amemtoa Madrid lakini magoli yote aliyofunga pass ni kutoka kwa varane (beki wa Madrid) ushindi wa ujanja janja uefa huwaga haupo.

Huwezi kufika mbali.

Final ni Bayern na Leipzig sasa hapo wote wanajuana anachukua yoyote yule hapo.
 
Mkuu tatizo watu hawaangalii mpira wamebaki na majina yao eti timu kubwa,

Kama mpira ulikuwa umeangalia unakupa picha kama hii timu itashinda au itafungwa?

Man city amemtoa Madrid lakini magoli yote aliyofunga pass ni kutoka kwa varane (beki wa Madrid) ushindi wa ujanja janja uefa huwaga haupo.

Huwezi kufika mbali.

Final ni Bayern na Leipzig sasa hapo wote wanajuana anachukua yoyote yule hapo.
Hivi hili liepizig ya ujerumani?
 
Bebwalona ile hata kama wewe ungekuwa kocha ni lazima ungebeba makombe tu, UEFA ni ya Wanaume mkuu. Pep atjipumzikie tu kufundisha mpira kwa matarajio ya kubeba kikombe cha UEFA atanenepa pia
Bora akwende tu, hizi style za ki Barcelona watu wameshazijulia, wanapiga pasi tatu goli, wanakuachia ball possession kibao.

Ujinga mtupu
 
Guardiola hawezi kutupa uefa Ana overthink game za kawaida.
Unaenda kujaza viungo wakabaji na beki 5.
Unajarib formation knockout stage kweli?
 
Haya karibuni leo usiku by 10:00 AM litapigwa kabungu moja la mabingwa wa kihistoria na pia anayewawakilisha mashindano ya ulaya kwa sasa. Msikose kuja kuangalia pressing za hatari
 
Binafsi sielewi tatizo ni nini kwa Pep, na wakimtimsha watapata kocha gani wa kuwapa UEFA?

Accuracy ya Barca kipindi cha Pep ilimbeba sana jamaa kuchukua UEFA.

Nahisi kutopata wachezaji wa caliber ya Xavi, Iniesta na Messi kutaendelea kumtesa sana. Kwa hii City, kwenye huo utatu namwona KDB peke yake.
Na yeye ni usajiri wa Pelegrin



MAGUFULI4LIFE.
 
Binafsi sielewi tatizo ni nini kwa Pep, na wakimtimsha watapata kocha gani wa kuwapa UEFA?

Accuracy ya Barca kipindi cha Pep ilimbeba sana jamaa kuchukua UEFA.

Nahisi kutopata wachezaji wa caliber ya Xavi, Iniesta na Messi kutaendelea kumtesa sana. Kwa hii City, kwenye huo utatu namwona KDB peke yake.
Kwahiyo kwa point yako Kocha hana uwezo ila wachezaji.
 
Back
Top Bottom