Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,490
- 7,422
Akiondoka anaenda wapi huyu Pep ?Pep mwenyewe haeleweki km anaongeza mkataba ama haongezi.
Nadhan ndomana hawajasajil kiungo,kama akienda ngoja tuone falsafa za kocha mwngne zitabase kwenye nn.
Inabidi atulie tu Man City maana kapewa hela nyingi sana miaka mitano yote ila UEFA hata nusu fainali tu sidhani kama amewahi fika