Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutawasokomeza jiti hapo baadae. Huu uzi mtaukimbia.Pep is the benchmark
Wanakuja makocha wao wanajaribu kushindana nae wanaflop.
Ilianza
pep vs Mourinho
Pep vs klopp
Now
Pep vs Tuchel
Wenzake wote washapigwa chini muache uyu maskio marefu na mbwembwe zake
Pep jana amesema hajaona cha ajabu sana kisichowezekanika ambacho amefanya tuchel
Tunahitaji point 2 tuu kutangazwa mabingwa wa uingereza.Tutawasokomeza jiti hapo baadae. Huu uzi mtaukimbia.
Chelsea kuna beki pale ,hivi nyie Chelsea mna kitu gani hasa cha kuitisha city ..
Narudia tena ,Chelsea inacheza tu kwa morali ila haina wachezaji wenye uwezo na ubunifu uwanjan kama city ..
Chelsea ni underdog tu ,Hana kikosi chochote cha kuitisha city ..
Huyo ni mchoma mahindi wa manzese mkuu
Punguza pressure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We jamaa ni taahira sana
Nataka niweke beting million 100 city anashida au mnasemaje wadau hii game hatoki mtu
Mtaongea sana pep kawanyamazishaPundamilia mliochangamka chukueni EPL then mwenzenu Pundamilia halisi achukue Europa ila kuhusu game la leo na UCL msahau kupata ushindi hata wa draw
chelsea leo anafungwa 5Uzuri ni kwamba haihitaji akili nyingi kumjua mshindi
wewe huna akili kabisa utampangia mtu team ya kushabikia? je kama kaanza kushabikia ukubwaniHili jukwaa ni la kituko sana, ety ww jamaa ndo mtetezi na msambaza taarifa wa hili jukwaa la wahuni [emoji23][emoji23][emoji23] uliwahi kuona wapi mtanzania shabiki wa man City.? Au haya mafanikio ya Pep ndo yalikudanganya.?
kama umezaliwa kipindi cha jakaya ni halali kabisa kuwa mshabiki wa man cityUnaonaekana namna gani ulivo mweupe kichwan ,huna unalolijua kuhusu mpira ..
Unaonesha ujinga wako hadharani mkuu pole sana ..
Kwanini lakin unajivua nguo mbele ya kadamnasi namna hii ..
Kwamba man city haina fans ? Huoni kama wewe ndio kilaza ? Huoni mkuu ...!!!!