Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Ni wakati wake anahaki ya kutamba mkuu[emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wakati wake anahaki ya kutamba mkuu[emoji28]
Teh teh teh. Naona mmeingia kwa kishindo[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] na tunaingia final
Etihad huu mwaka n wetu.
Mzee hali yako vipi? Weekend unadondosha point tuna wakata shavu. Ule upara ataukuna mpaka utoe damu.Ni wakati wake anahaki ya kutamba mkuu[emoji28]
Huyo Newcastle anapigwa hata na akina ake mzee , [emoji28]Mzee hali yako vipi? Weekend unadondosha point tuna wakata shavu. Ule upara ataukuna mpaka utoe damu.
Nadhani kama ungekuwa umekubaliana na hali halisi usingejiita mwanaume kwa kile ulichofanywa jana pale bernabeu.Huyo Newcastle anapigwa hata na akina ake mzee , [emoji28]
Mfunge kwanza Spurs ndio uje uongee na wanaume kama sisi ..!
Kama ukiangalia mpira Jana ,najua unaijua city ni timu gani ....Nadhani kama ungekuwa umekubaliana na hali halisi usingejiita mwanaume kwa kile ulichofanywa jana pale bernabeu.
Newcastle unajua katika mwaka huu 2022 kwenye league amechukua points nyingi kukuzidi au hujui?
Huyo Spurs kwangu ni mtori tu.
Ni kweli City ni team kali sana hakuna asietambua ila kuna mashindano ya wanaume kama Madrid na Liverpool ambayo the likes of City inabidi muwe mnatoa tu usindikizaji.Kama ukiangalia mpira Jana ,najua unaijua city ni timu gani ....
City Bado ni machine Kali Sana ,hizo goli mbili za mistake usifikili zinaweza kuivunja .....
Hao Newcastle wanaenda kupigika vizuri tu
Dogo bwabwaja Sana ukwel utabak pale pale wewe n timu ndogo linafika suala la klabu bingwaKama ukiangalia mpira Jana ,najua unaijua city ni timu gani ....
City Bado ni machine Kali Sana ,hizo goli mbili za mistake usifikili zinaweza kuivunja .....
Hao Newcastle wanaenda kupigika vizuri tu
Hiyo Madrid Haina ubora wowote mzee labda ni vile football inamatokeo yake .....!Ni kweli City ni team kali sana hakuna asietambua ila kuna mashindano ya wanaume kama Madrid na Liverpool ambayo the likes of City inabidi muwe mnatoa tu usindikizaji.
Ndicho mlichofundishwa jana.
We n kenge kwel ili goli lifungwe lazma iwepo mistake hakuna gol bila mistake mkuuKama ukiangalia mpira Jana ,najua unaijua city ni timu gani ....
City Bado ni machine Kali Sana ,hizo goli mbili za mistake usifikili zinaweza kuivunja .....
Hao Newcastle wanaenda kupigika vizuri tu
Kwahiyo Liverpool tunaenda kumpiga mapema sio huyo Madrid?Hiyo Madrid Haina ubora wowote mzee labda ni vile football inamatokeo yake .....!
Any way wacha tuendelee na ligi uefa tutajiandaa next season ...!
Dogo bwabwaja Sana ukwel utabak pale pale wewe n timu ndogo linafika suala la klabu bingwa
Chenga sijui pressing haztakusaidia kitu chochote Zaid ya magol
Umrmuona Liverpool anapoamua kutafuta Jambo lake
Kumbuka haya
Villarreal 2-0liverpool ht
Villarreal 2-3liverpool ft
Barca 3- 0liverpool first league
Liverpool 4 - Barca 0 second league
Ac Milan 2- 0 Liverpool ht
Ac Milan 2-2liverpool sec half
Angalia records hizo
Wewe unaweza fanya haya usiku wa ulaya
Itakuchukua miaka buku kufanya hayo
Huyo Madrid anaenda kupigika mapema Sana mkuu ,first leg ilionesha kabisa ,hata 2rd leg imeomesha kabisa ,Madrid Hana timu trust me Wala hawezi kubeba uefa kwa kubahatisha bahatisha vile ...Kwahiyo Liverpool tunaenda kumpiga mapema sio huyo Madrid?
Hata Bayern Munich alifeli kubeba UCL. Alitembelea sana upepo wa Messi, Xavi, Iniesta, Etoo na wengineo.Narudia tena Pep pale city bado ni failure mpaka abebe UEFA
Game epl zilizobaki ...
Vs Newcastle
Vs westham
Vs wolves
Vs astonvilla
Let's go
Sasa Chelsea tunafanana nae? Yeye anazo 2 sisi je?
Yaan had Aston Villa hatufanan nae, city inatuumiza sana watu wake, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kaka mimi naona Laporte siku hizi simuelewi kabisa,bora Stones awe anacheza.
Sijui kwa nini anampenda sana Laporte wakati ana concid goli nyingi sana.Mzuri kwny kushambulia tu ila tukiwa tunashambuliwa anazingua tu.Anampa shida tu Diaz.
Bila Stones ile gemu na Atletico ya away tungepigwa nyingi tu.Stones ni kitasa na anajua majukumu yake.Zile Counter tunazofungwaga kila siku ni sababu za Laporte kujisahau.
Zincheko now na yeye benchi limemshusha viwango sio kama yule wa zamani.
Ederson ni mtu,huwezi kipa ukapewa kila kitu.Kwanza anajiamini pia ni mzuri wa kuanzisha mashambulizi.Labda tu yeye kwny mechi kubwa huwa ana kitete
Man city kwny big match huwa tunawahi kukata tamaa mapema na tunachanganyikiwa sana endapo tukifungwa goli.Tunahitaji captain ambaye anaweza kuslow down pressure za wachezaji kwny hali ngumu kuturudisha mchezoni.
Tunahitaji wazee kwny timu yetu.Maana hakuna kijiji kisichokuwa na mzee.Tunahitaji mtu ambaye anasikilizwa na wenzake.
Sio captain unampa eti Sterling au De bruyne mtu ambaye ana hasira za karibu.Captain ilibidi awe km Walker maana Fernandinho ndo huyo anaondoka.Gundogan ndo huyo mpole tu.
Tunahitaji mtu ambaye ataamsha munkari changing room au uwanjani tukijisahau.
All in all Man City we are the best team
Huyo Newcastle anapigwa hata na akina ake mzee , [emoji28]
Mfunge kwanza Spurs ndio uje uongee na wanaume kama sisi ..!