The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Huyo Newcastle anapigwa hata na akina ake mzee , [emoji28]

Mfunge kwanza Spurs ndio uje uongee na wanaume kama sisi ..!
Nadhani kama ungekuwa umekubaliana na hali halisi usingejiita mwanaume kwa kile ulichofanywa jana pale bernabeu.

Newcastle unajua katika mwaka huu 2022 kwenye league amechukua points nyingi kukuzidi au hujui?

Huyo Spurs kwangu ni mtori tu.
 
Game epl zilizobaki ...

Vs Newcastle

Vs westham

Vs wolves

Vs astonvilla


Let's go
 
Nadhani kama ungekuwa umekubaliana na hali halisi usingejiita mwanaume kwa kile ulichofanywa jana pale bernabeu.

Newcastle unajua katika mwaka huu 2022 kwenye league amechukua points nyingi kukuzidi au hujui?

Huyo Spurs kwangu ni mtori tu.
Kama ukiangalia mpira Jana ,najua unaijua city ni timu gani ....

City Bado ni machine Kali Sana ,hizo goli mbili za mistake usifikili zinaweza kuivunja .....

Hao Newcastle wanaenda kupigika vizuri tu
 
Kama ukiangalia mpira Jana ,najua unaijua city ni timu gani ....

City Bado ni machine Kali Sana ,hizo goli mbili za mistake usifikili zinaweza kuivunja .....

Hao Newcastle wanaenda kupigika vizuri tu
Ni kweli City ni team kali sana hakuna asietambua ila kuna mashindano ya wanaume kama Madrid na Liverpool ambayo the likes of City inabidi muwe mnatoa tu usindikizaji.

Ndicho mlichofundishwa jana.
 
Kama ukiangalia mpira Jana ,najua unaijua city ni timu gani ....

City Bado ni machine Kali Sana ,hizo goli mbili za mistake usifikili zinaweza kuivunja .....

Hao Newcastle wanaenda kupigika vizuri tu
Dogo bwabwaja Sana ukwel utabak pale pale wewe n timu ndogo linafika suala la klabu bingwa

Chenga sijui pressing haztakusaidia kitu chochote Zaid ya magol

Umrmuona Liverpool anapoamua kutafuta Jambo lake

Kumbuka haya

Villarreal 2-0liverpool ht


Villarreal 2-3liverpool ft

Barca 3- 0liverpool first league

Liverpool 4 - Barca 0 second league

Ac Milan 2- 0 Liverpool ht

Ac Milan 2-2liverpool sec half

Angalia records hizo

Wewe unaweza fanya haya usiku wa ulaya
Itakuchukua miaka buku kufanya hayo
 
Ni kweli City ni team kali sana hakuna asietambua ila kuna mashindano ya wanaume kama Madrid na Liverpool ambayo the likes of City inabidi muwe mnatoa tu usindikizaji.

Ndicho mlichofundishwa jana.
Hiyo Madrid Haina ubora wowote mzee labda ni vile football inamatokeo yake .....!

Any way wacha tuendelee na ligi uefa tutajiandaa next season ...!
 
Kama ukiangalia mpira Jana ,najua unaijua city ni timu gani ....

City Bado ni machine Kali Sana ,hizo goli mbili za mistake usifikili zinaweza kuivunja .....

Hao Newcastle wanaenda kupigika vizuri tu
We n kenge kwel ili goli lifungwe lazma iwepo mistake hakuna gol bila mistake mkuu

Kajifunze nn maana ya mistake
 
Dogo bwabwaja Sana ukwel utabak pale pale wewe n timu ndogo linafika suala la klabu bingwa

Chenga sijui pressing haztakusaidia kitu chochote Zaid ya magol

Umrmuona Liverpool anapoamua kutafuta Jambo lake

Kumbuka haya

Villarreal 2-0liverpool ht


Villarreal 2-3liverpool ft

Barca 3- 0liverpool first league

Liverpool 4 - Barca 0 second league

Ac Milan 2- 0 Liverpool ht

Ac Milan 2-2liverpool sec half

Angalia records hizo

Wewe unaweza fanya haya usiku wa ulaya
Itakuchukua miaka buku kufanya hayo

Sis tushakubali na kuamua kumove on ,next season wewe umekaza fuvu kutupangia kwamba ni lazima man city achukue CL mwaka huu ,unapangia timu makombe , [emoji28]

Unashabikia mpira kwa mihemko,kwamba ilikuwa lazima city achukue CL ,huelewi football nin ?
 
Kwahiyo Liverpool tunaenda kumpiga mapema sio huyo Madrid?
Huyo Madrid anaenda kupigika mapema Sana mkuu ,first leg ilionesha kabisa ,hata 2rd leg imeomesha kabisa ,Madrid Hana timu trust me Wala hawezi kubeba uefa kwa kubahatisha bahatisha vile ...

Amebahatisha kwetu asifikili na huko anakoenda anaweza kubahatisha ...!
 
Sasa Chelsea tunafanana nae? Yeye anazo 2 sisi je?
Yaan had Aston Villa hatufanan nae, city inatuumiza sana watu wake, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Yaani kabla ya mechi ulivyokuwa unapita kwenye majukwaa ya Watu na kujichekeshachekesha hukuamini kama utakuwa mnyonge kiasi hichi.
 
Kaka mimi naona Laporte siku hizi simuelewi kabisa,bora Stones awe anacheza.

Sijui kwa nini anampenda sana Laporte wakati ana concid goli nyingi sana.Mzuri kwny kushambulia tu ila tukiwa tunashambuliwa anazingua tu.Anampa shida tu Diaz.

Bila Stones ile gemu na Atletico ya away tungepigwa nyingi tu.Stones ni kitasa na anajua majukumu yake.Zile Counter tunazofungwaga kila siku ni sababu za Laporte kujisahau.

Zincheko now na yeye benchi limemshusha viwango sio kama yule wa zamani.

Ederson ni mtu,huwezi kipa ukapewa kila kitu.Kwanza anajiamini pia ni mzuri wa kuanzisha mashambulizi.Labda tu yeye kwny mechi kubwa huwa ana kitete

Man city kwny big match huwa tunawahi kukata tamaa mapema na tunachanganyikiwa sana endapo tukifungwa goli.Tunahitaji captain ambaye anaweza kuslow down pressure za wachezaji kwny hali ngumu kuturudisha mchezoni.

Tunahitaji wazee kwny timu yetu.Maana hakuna kijiji kisichokuwa na mzee.Tunahitaji mtu ambaye anasikilizwa na wenzake.

Sio captain unampa eti Sterling au De bruyne mtu ambaye ana hasira za karibu.Captain ilibidi awe km Walker maana Fernandinho ndo huyo anaondoka.Gundogan ndo huyo mpole tu.

Tunahitaji mtu ambaye ataamsha munkari changing room au uwanjani tukijisahau.

All in all Man City we are the best team

Best ya Nyoko 😂😂😂
 
Huyo Newcastle anapigwa hata na akina ake mzee , [emoji28]

Mfunge kwanza Spurs ndio uje uongee na wanaume kama sisi ..!

Kwa hiyo uwezo wenu ni kuwafunga akina Newcastle?
Unakua na kikosi cha bilion ili kumfunga Leeds?

Spurs hawezi msumbua Liverpool huyu Anfield
 
Back
Top Bottom