The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Borussia-Dortmund-vs-Manchester-City-Champions-League-Prediction-by-LeagueLane.jpg
 
Leo nahisi tutacheza kwa kurelax au tukakiwasha first half then second half tukafanya mazoezi tu......
 
Leo haaland aanze afunge hata goli moja tu inatosha ...amuachie na Alvarez....
 
XI

Haaland..............Alvarez


Foden.....gundo.....rodri....mahrez


Cancelo.....ake.......Diaz.....stones


S.Ortega
 
Dogo Gomez hii game angeanza ila ndo hivyo red card inemuharibia
 
Haya Sasa Ortega kazi yake kuonesha Kama anaweza kuanza kwenye PL ....
Mahrez ajitahidi kurudi kwenye uweZo wake hizi mechi ni za kumrudishia imani kocha sema jamaa huwa anarukaruka tu hata hizi mechi chache anazopata.......na confidence yake imeshuka sana....

Ngoja Leo tumuone
 
Mahrez ajitahidi kurudi kwenye uweZo wake hizi mechi ni za kumrudishia imani kocha sema jamaa huwa anarukaruka tu hata hizi mechi chache anazopata.......na confidence yake imeshuka sana....

Ngoja Leo tumuone
Mtakuka Sana mwaka huu[emoji23]
 
Back
Top Bottom