The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Ake Yuko underrated Sana ,...
mancity-20221223-0003.jpg
 
Phillips kaumua Lin jamn mbona anajipotezea kipaji chake [emoji848][emoji848][emoji848]

Kombe la dunia kaitwa na alikuwa fit japo nasikia hakuwa fit Kwa ajili ya game lakin alikuwa anatokea sub ,....


Msimu unaishi hajaingia uwanjana kazi yake ni kuogelea na kulala tu [emoji2][emoji848][emoji3060][emoji3060][emoji3060]
city kacheza dakika 54 tu toka amekuja.
Timu ya taifa kacheza chini ya dakika 45 nadhani.Huyu jamaa tunaweza kuwa tumeingia cha kike.
 
Phillips kaumua Lin jamn mbona anajipotezea kipaji chake [emoji848][emoji848][emoji848]

Kombe la dunia kaitwa na alikuwa fit japo nasikia hakuwa fit Kwa ajili ya game lakin alikuwa anatokea sub ,....


Msimu unaishi hajaingia uwanjana kazi yake ni kuogelea na kulala tu [emoji2][emoji848][emoji3060][emoji3060][emoji3060]
Kama grealish tu, japokua mwenzake anapata game time
 
Mwezi January tuna ratiba ngumu sana.Utakuwa ni mwezi mgumu kwetu.

THURSDAY 5th, Premier league
Chelsea vs Manchester city

SUNDAY 8th, FA Cup
Manchester city vs Chelsea

TUESDAY 10th, Carabao cup
Southampton vs Manchester city

SATURDAY 14th, Premier league
Manchester united vs Manchester city

THURSDAY 19th, Premier league
Manchester city vs Tottenham hotspurs

SUNDAY 22nd, Premier league
Manchester city vs Wolverhampton
Mkileta masihara mtu anatangaza ubingwa March
 
Rico lewis amejitahidi sana kwa kiwango chake......hapa hizi takwimu amezidiwa na rodri na laporte tu

Pass succession rate - 87%
Touches- 73
Passes 70
Tackles won -2
Hii timu ukifatilia kwa undani utagundua mashabiki wake wengi ni wanawake na watoto, kama kuna wanaume basi ni waliotoka unyumbuni
 
Phillips tulipigwa aisee ....

Ukiona pep kaanza hivi ujue kashamtema,tumepoteza pesa za Bure kununua kelvin Phillips kuja kuogelea na kula tu maisha [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sasa kashanenepa mpaka hawezi kufanya mazoezi ...


Za ndani kabisa zinasema pep kampiga stop Phillips kukanyaga kwenye uwanja wa training wa city na gym ....

Tulikurupuka vibaya mnoo kumsajili jamaa [emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060]
FB_IMG_16718987815358275.jpg
 
Back
Top Bottom