Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Sio kamuaachia tuko vibaya mnoo ,saizi timu inacheza bila tactics, ....Naona pep kaamua kumwachia kabisa msaidizi wake kombe mwaka huu.
Keshaishiwa mbinu Apumzike kwa muda angalau timu iongozwe na mtu mwingine baadaye arudi. Apewe likizo ya lazima kama mch. Kimaro
Lewis pekee ndio anaonesha uhai ....