Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Sasa Hao PL ni nan mpaka tusichomoe ....Mnachotakiwa ni kukata rufaa tu. Huyo private consultan atakachofanya ni kupendekeza adhabu sio evidence. Wai wameshasema kutoa evidence inabaki kwenu. Mkichomoa safari hii ninyi ni wanaume
Sheria zimezoanzishwa mwaka 2011 ,zinatumika kuhukumu mambo ya 2009 watu sio wajinga bana ...
Wanatuharibu psychologically tu kumpa nafasi man UTD na arsenal kuwin PL [emoji3][emoji3][emoji3]