The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

20230215_233222.jpg
 
Pep kila siku anapigwa counter attack lakini habadiliki. Sijui mazoezini anawafundisha nini huyu. Bullshit
 
We possessed the ball by less than 40 percent against arsenal and we were clinical enough to score 3 goals.

Yesterday, we possessed the ball by about 70+ percent but we were blunt only to score one goal.

It's a combination of poor finishing & poor defending.
 
Pep kila siku anapigwa counter attack lakini habadiliki. Sijui mazoezini anawafundisha nini huyu. Bullshit
Wakati tunafungwa goli, bernado silva ambaye alikuwa na majukumu ya left back alikuwa out of position.

Laporte alijaribu kwenda kufanya cover but jamaa walikuwa wame overload huo upande.

Nadhani pep aendelee kumtumia ake kwenye left back kuliko kufanya experimentation kwa bernado though amekuwa superb kwenye game 2 zilizopita lakini mara kadhaa anakuwa caught off position.
 
We possessed the ball by less than 40 percent against arsenal and we were clinical enough to score 3 goals.

Yesterday, we possessed the ball by about 70+ percent but we were blunt only to score one goal.

It's a combination of poor finishing & poor defending.
Game ya jana tumekuwa butu kisenge, kuna zile chance walizopata kina foden,laporte, rodri lakini walichokifanya wanajua wenyewe.

ilikuwa tushinde goli 3 kwenda juu.

aaarghhh.
 
Back
Top Bottom