The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Liverpool mechi ya kwanza walitufunga sababu ya kukosekana utulivu pale nyuma, Akanji ile game alikua hana confidence kabisa, alikua anafanya makosa mara kwa mara.

Kumkosa Foden leo ni pengo kubwa sababu style yake ya uchezaji inafaa kabisa kucheza na mtu kama Alvarez (ana uwezekano mkubwa wa kuanza).

Alvarez leo hawezi kufanya physical battle na Van Dijk ama Konate hivyo tutegemee kumuona akishuka chini kuja kufanya link up na midfield na kutengeneza nafasi kwa ajili ya mawinga kushambulia.

Hii ingefanya kazi vizuri zaidi kama tungekuwa na winga ambaye yuko direct anayeingia ndani ya box kwenda ku exploit space Kama Foden.

Mahrez na Grealish huwa wanacheza pembeni tu muda mwingi.
Leo natama nyuma stone asiwepo kabisa
Lapote akanji walker na lews na katikati lodri benardo de brn pembeni awepo mahalez na mwingne awepo gudgan mbele asimame alvares hii gemu mapema tunashinda
 
Leo natama nyuma stone asiwepo kabisa
Lapote akanji walker na lews na katikati lodri benardo de brn pembeni awepo mahalez na mwingne awepo gudgan mbele asimame alvares hii gemu mapema tunashinda
Nategemea kikosi cha namna hii.


Grealish.....alvarez..,.mahrez

Bernado......rodri........KDB

Ake...dias...akanji/stones..walker

..............ederson.
 
Kuna uwezekano wa pep kumrisk haaland leo.

Mchezaji pekee ambaye Pep kathibitisha kutokuwepo leo ni Phil Foden.
pep asifanye huu uboya, bado kuna mechi nyingi ngum sasa unaanzaje kumrisk haaland wakati una alvarez yuko fiti?
 
Liverpool wanatumia trick ya false no.9.

Gakpo anakua anashuka kutengeneza nafasi kwa salah na nunez, kumuacha mtu kama huyo azunguke free itatugharimu.
Tunahitaji mtu wa kuwa anampress cody gakpo na hapo ndipo ninapokuja kuuona umuhimu wa Portuguese pressing machine, bernado silva.
Mechi ya leo bernado anaweza kuwa decisive pale kati kama ataanza.
Bernado hajaanza.
 
fsnyzovwcaigv9u.jpg
 
Mungu asaidie tuwadondoshe hizo race za ubingwa ili Arsenal achukue ubingwa kiulainiii Mungu saidie tuwachakaze hawa ma shit
 
Back
Top Bottom