The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Jamaa kipindi cha yule Garcia hata wakiweka deep block midfield yao inapitika kirahisi, wakiamua kuja kupress wanakosa unity wanakuwa exposed, leo sam atatupa challenge mpya.
Leeds ni wachovu sana ,Sam Allardyce hatowasaidia kitu kwa leo.
 
Leeds ni wabovu sana kwenye set pieces both defending and attacking, hawawezi kupress, hawawezi kucheza deep block yani wapowapo tu.
Ujio wa big sam labda utabadilisha mambo lakini hii leeds tunaweza tukaipiga hata 8.
Kwasababu ya game ya madrid, wakishakufa tatu zinawatosha vifaa vipumzike.
 
Starting XI

Ederson
Lewis
Akanji
Ake
Laporte
De bruyne
Gundogan
Alvarez
Foden
Mahrez
Haaland
 
Alvarez................Haaland


Foden........KDB.........Gundogan......Mahrez


Ake........laporte.........Akanji...........lewis



Ederson
 
Alvarez................Haaland


Foden........KDB.........Gundogan......Mahrez


Ake........laporte.........Akanji...........lewis



Ederson
Livescore nimeona wamepanga hivi.

Haaland


Foden.......Alvarez.....Gundogan....Mahrez


Laporte.........Kdb


Ake........Akanji.........Lewis



......ederson

4:2:3:1
 
Livescore nimeona wamepanga hivi.

Haaland


Foden.......Alvarez.....Gundogan....Mahrez


Laporte.........Kdb


Ake........Akanji.........Lewis



......ederson

4:2:3:1
Rico lewis ndio atakua anapanda kwenye midfield nyuma wanabaki ake laporte na akanji.
Lewis hawez Kubaki kwenye back 3.
 
Grealish na rodri wanastahili kupumzika maana huwa ni bandika bandua.
 
Nimesoma Fabrizio Romano leo wanaripoti kwamba wachezaji wa Madrid wiki nzima chakula chao kikuu ni tende +maziwa, mihogo + samaki wa kukaanga + nazi mbata, karanga mbichi + matikiti na maji kwa wingi tu sijui week ijayo Wana shughuli gani.
 
Nimesoma Fabrizio Romano leo wanaripoti kwamba wachezaji wa Madrid wiki nzima chakula chao kikuu ni tende +maziwa, mihogo + samaki wa kukaanga + nazi mbata, karanga mbichi + matikiti na maji kwa wingi tu sijui week ijayo Wana shughuli gani.
Hahahaha
 
Back
Top Bottom