Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama tunatafuta replacement ya gundo inabidi tuingie mazima kwa Mac Allister, hata kova sio mbaya anaweza kutusaidia kwa short term wakati tunatafuta long term replacement.Naona tumeshamkosa Bellingham, inatakiwa sasa tukomae tumpate mac allister, kovacic umri sio rafiki.
Ripoti nyingi zinaonyesha nguvu zote zipo kwa kovacic.Naona tumeshamkosa Bellingham, inatakiwa sasa tukomae tumpate mac allister, kovacic umri sio rafiki.
Kuna yule Romeo lavia tulimuuza soton, kulikua na buy back clause na kukawa na taarifa tunataka kui activate sa sijui imekuwaje.Kama tunatafuta replacement ya gundo inabidi tuingie mazima kwa Mac Allister, hata kova sio mbaya anaweza kutusaidia kwa short term wakati tunatafuta long term replacement.
Tukimchukua kova inabidi mwakani kuingia sokoni tena.Ripoti nyingi zinaonyesha nguvu zote zipo kwa kovacic.
Kuna uwezekano mkubwa tukamchukua kovacic summer, chelsea wanataka kumuuza.
Au hata yule nicolo BarellaNaona tumeshamkosa Bellingham, inatakiwa sasa tukomae tumpate mac allister, kovacic umri sio rafiki.
Barella, a combative box to box midfielder.Au hata yule nicolo Barella
Final kama vile pep anakuwaga na maswali kibao ,wakati wengine wanaweka simple squad tu na kuwin ...Huko TikTok kuna mwamba anajiita @lavezzi1893 alitabiri fainali ni Inter na City na mshindi atakuwa Inter.
Utabiri aliuanzia kwenye robo fainali, alikuwa na mayai ambayo kila moja lilikuwa na icon ya timu mojawapo kati ya zile 8, akawa anayagonganisha kuendana na droo ilivyokuwa, yai ambalo litapasuka maana yake hiyo timu itatolewa.
Yai la city vs bayern, yai la madrid vs chelsea n.k
Mayai ya Bayern, Chelsea, Napoli, na Benfica yalipasuka, kwenye semi final mayai ya Madrid na Ac milan yakapasuka, kwenye final yai la City likapasuka.
Ngoja tuone yaliyomo, maana kuna mwingine alitabiri Man united atabeba Epl [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huko TikTok kuna mwamba anajiita @lavezzi1893 alitabiri fainali ni Inter na City na mshindi atakuwa Inter.
Utabiri aliuanzia kwenye robo fainali, alikuwa na mayai ambayo kila moja lilikuwa na icon ya timu mojawapo kati ya zile 8, akawa anayagonganisha kuendana na droo ilivyokuwa, yai ambalo litapasuka maana yake hiyo timu itatolewa.
Yai la city vs bayern, yai la madrid vs chelsea n.k
Mayai ya Bayern, Chelsea, Napoli, na Benfica yalipasuka, kwenye semi final mayai ya Madrid na Ac milan yakapasuka, kwenye final yai la City likapasuka.
Hizi ramli sasa.Huko TikTok kuna mwamba anajiita @lavezzi1893 alitabiri fainali ni Inter na City na mshindi atakuwa Inter.
Utabiri aliuanzia kwenye robo fainali, alikuwa na mayai ambayo kila moja lilikuwa na icon ya timu mojawapo kati ya zile 8, akawa anayagonganisha kuendana na droo ilivyokuwa, yai ambalo litapasuka maana yake hiyo timu itatolewa.
Yai la city vs bayern, yai la madrid vs chelsea n.k
Mayai ya Bayern, Chelsea, Napoli, na Benfica yalipasuka, kwenye semi final mayai ya Madrid na Ac milan yakapasuka, kwenye final yai la City likapasuka.
Yahn unapiga hesabu za fainali wakati bingwa mtetezi ujamtoa bado hahaahahahah.Final kama vile pep anakuwaga na maswali kibao ,wakati wengine wanaweka simple squad tu na kuwin ...
Mfano ile final ya CL na Chelsea Kuna muda naona kama vile tuliwachukulia poa Chelsea tukajikuta tuna overconfidence ,kuanzia media mpaka kila mtu alimpa nafasi city ,this is the problem ,coz opponent wanakuwa wanajenga strong sprity internally to fight for their live ,that why Chelsea walitu outsmart simple kabisa ....
Hata hii tunaweza kufanya ujinga huo huo ,maana kuanzia media ,mpaka majority of people watamuunderate intermillan psychologically wachezaji wa intermillan wataingia na sprity ya juu hatariii ,fight like it's their last ,wakati wachezaji wetu watakuwa very simple na confidence wakijua Hawa tunawamudu ,and is where underdog play like champion .....
Ndio maana Madrid huwa anawin final nyingi sababu ,hanaga complication ,huwa Wana calm down and to play football,ukiwa so excited na final always lazima utalose ,utacheza kutaka kuua game mapema wakati unajiweka matatizoni .....
Always kwenye final ,come down play football, tactics ndio zitaamua ....usiwe na haraka ya kuua game mapema, ndio Madrid huwa anaenda Hadi extra time na kuwin ,cause he play football ushindi utakuja ,wakati nyie mnaingia uwanjan na mentality ya kuua game dakika 90 ...badae mnaanza kupanic dakika 90zikiisha ,wakati wengine wanaendelea kucheza football as usual,at the end of the day waliopanic wanapigwa kirahisi mnoo .....
Pep hili anatakiwa kulijua ...
Asikwambie mtu. Ni balaaaha ya Manchester City F.C. (1928-1965)
Historia ya Manchester City F.C. (1965-2001)
Historia ya Manchester City F.C. (2001-sasa)
-leo tutaanza na safu ya kwanza.
Historia ya Manchester City F.C. (1880-1928)
-Wanachama wa Kanisa la St. Mark la Uingereza, West Gorton, Manchester, walianzisha klabu ya mpira wa miguu ambayo inajulikana kama Manchester City, kwa madhumuni makubwa ya kutoa huduma za kibinadamu.
Kwa kuzuia unyanyasaji wa magenge maovu na Yale ya ulevi na kupigania ukosefu mkubwa wa ajira zaidi mashariki mwa Manchester, hasa Gorton.
-Watu wote walikubali kujiunga, bila kujali dini, kulikua na Klabu ya kriketi ya kanisa ilianzishwa mwaka wa 1875, miezi ya baridi.
Ndipo Bwana Rector Arthur Connell kushinikiza kwa kuingilia kati katika matatizo ya kijamii, William Beastow na Thomas Goodbehere wa kanisa walianzisha timu ya mpira ya soka iliyoitwa St Mark's (West Gorton) (wakati mwingine ikiandikwa kama West Gorton (St Mark's) katika miez ya baridi mwaka 1880.
-Mechi ya kwanza ya timu iliyorekodiwa ilitokea tarehe 13 Novemba 1880, dhidi ya timu ya kanisa kutoka Macclesfield. Marko alipoteza mechi 2-1, na timu alishinda mechi moja wakati wa msimu wa 1880-81 tangu kuanzishwa, na ushindi juu ya Stalybridge Clarence mwezi Machi 1881.
-Jiji lilipata heshima ya kwanza kwa kushinda kuingia daraja la Pili(second devision) mwaka wa 1899; na timu ikaweza kupanda kiwango cha juu katika soka la Kiingereza, daraja la kwanza(First devision), tarehe 23 Aprili 1904, wakiipiga Bolton Wanderers 1-0.
-Klabu iliweza kupoteza Kombe la FA mara mbili moja ikiwa ni fainali dhidi ya crystal palase.
Katika msimu baada ya ushindani wa Kombe la FA, klabu ilipatwa na uhaba wa kifedha, na kusimamishwa kwa wachezaji kumi na saba mwaka 1906, ikiwa ni pamoja na nahodha Billy Meredith, ambaye baadaye alihamia.
Manchester United
-Moto uliozuka katika Hyde Road uliweza kuharibu miondombinu ya timu ikiwemo uwanja mwaka wa 1920, na mwaka wa 1923 klabu ilihamia kwenye uwanja wao mpya uliojengwa Maine Road katika Moss Side.
Manchester City: EPL Champions 2014
![]()
Manchester City beat West Ham 2-0 to win the Barclays Premier League title
Incase tukiingia final ...Yahn unapiga hesabu za fainali wakati bingwa mtetezi ujamtoa bado hahaahahahah.
Tukutane mei 17Yahn unapiga hesabu za fainali wakati bingwa mtetezi ujamtoa bado hahaahahahah.
Phillips atauzwa, kuna declan rice pia yuko kwenye rada zetu.Nasikia tunamtaka Ryan Gravenberch wa bayern..siku za phillips zinahesabika.