The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Screenshot_20230517-224019_1.jpg
 
Ancelotti hana timu
Aki a Camavinga na Rodrygo wanaruka ruka na kujirusha rusha tu uwanjani
Baada ya hii game, Ancelotti atatimuliwa kazi
 
Pep yuko serous sana na kazi yake....yaani anastim balaa, ebu fikiria leo Pep akaachana na City, atagombaniwa kama mpira wa Kona kwa msemo wa A. Lyatonga Mrema. (RIP)
 
Back
Top Bottom