The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Ila tunaitaji winga apo city winga yenye machachari ya kuchachafya beki ....mfano kama akina mitoma
 
Ndio mrithi wake awe yule kocha wa Brighton sio ???
De zerbi hawezi Toka Brighton ,na sidhani kama ni mbadala wa pep ,....

Kusema kweli team ikishashinda kila kitu kama vile Kuna hali flani ya molari kupungua maana kila mchezaji anakuwa na medal ya kitu anachotaka ,pep anakuwa hana maneno ya ziada tena kuwashawishi wachezaji Kama mwanzo ......

Ndio maana nikasema wakitaka kuona city inazidi kutawala epl tukose UEFA mwaka huu ," hizi kauli za pep hawezi win CL bila mess " ndio zinamfanya pep awe wa moto huko dressing room kuhimiza wachezaji kupambana ,...
 
De zerbi hawezi Toka Brighton ,na sidhani kama ni mbadala wa pep ,....

Kusema kweli team ikishashinda kila kitu kama vile Kuna hali flani ya molari kupungua maana kila mchezaji anakuwa na medal ya kitu anachotaka ,pep anakuwa hana maneno ya ziada tena kuwashawishi wachezaji Kama mwanzo ......

Ndio maana nikasema wakitaka kuona city inazidi kutawala epl tukose UEFA mwaka huu ," hizi kauli za pep hawezi win CL bila mess " ndio zinamfanya pep awe wa moto huko dressing room kuhimiza wachezaji kupambana ,...
Domination ya timu wala haitegemei timu ime archive nini, ferguson aliipa man u UEFA, EPL na FA mwaka 1999 but wewe mwenyewe unajua waliendelea kubeba makombe kwa kipindi gani.
 
Safi sana, hiki ndio kikosi cha kuanza sasa.

City starting XI

Ortega
Lewis
Akanji
Walker
Laporte
Philips
Gomez
Mahrez
Palmer
Foden
Alvarez
 
Ngoja tuone upana wa kikosi
FB_IMG_1684678107630.jpg
 
Safi sana, hiki ndio kikosi cha kuanza sasa.

City starting XI

Ortega
Lewis
Akanji
Walker
Laporte
Philips
Gomez
Mahrez
Palmer
Foden
Alvarez
Arsenal katurahisishia kazi ni muda wa kuona kitu gani Kev Phillipe na Gomez watadeliver
 
Back
Top Bottom