The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

.
IMG-20230611-WA0067.jpg
 
[emoji2424] Kevin De Bruyne: "The last two months I had a lot of problems, tonight it broke, it's a shame because I was good in the game tonight. But the most important thing is the team's final victory . I think we deserve to win. We will enjoy with everyone, the season is over now." [emoji471]
FB_IMG_16864657119306648.jpg
 
Wanaangalia na personal accolades pia, sio makombe tu
Basi Lewandoski angeshinda 2021.Yaani ukipambanishwa na Messi aliyeshinda kombe la dunia na kuwa mchezaji bora wa kombe la dunia,you are done.Lewandoski alishinda kama Haaland tu ,sema akapambanishwa na Messi aliyetoka kushinda Copa America .
 
Mess na Ronaldo,benzema wameshatupisha Sasa , ballond'or zimebaki mikononi mwa vijana wetu ....

Haaland ,kdb , Alvarez,mbappe ,vinn .....

Hawa ndio wanaenda kutawala football ulaya ...
 
Super cup


Sevilla Vs man city


Hawa sevilla walimnyoroshaaa united goli 3-0 kama wamesimama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Tuko nao Sasa ....
 
Basi Lewandoski angeshinda 2021.Yaani ukipambanishwa na Messi aliyeshinda kombe la dunia na kuwa mchezaji bora wa kombe la dunia,you are done.Lewandoski alishinda kama Haaland tu ,sema akapambanishwa na Messi aliyetoka kushinda Copa America .
Mkuu mwaka 2021 lewandowski alishinda hivi

1. Bundesliga
2. Bundesliga golden boot

Messi alishinda hivi

1. Copa del rey
2. La liga top scorer
3. Copa america
4. Copa america top scorer
5. Copa america best player


Lewandowsky angechukua vipi hapo?
 
Mkuu mwaka 2021 lewandowski alishinda hivi

1. Bundesliga
2. Bundesliga golden boot

Messi alishinda hivi

1. Copa del rey
2. La liga top scorer
3. Copa america
4. Copa america top scorer
5. Copa america best player


Lewandowsky angechukua vipi hapo?
Umesahau alishinda, UEFA champions ligue ,Kiatu ulaya,kiatu UEFA. SHEREHE ZA BALLON D'OR ZILIFANYIKA 2021
 
Hakuna forward pale mamaeee[emoji23][emoji23][emoji23]
Finali za UCL ni mechi tofauti, mbona Haaland hakufurukuta hata kidogo, kama sio uzembe wa Inter kumuachia gap Rodri hiyo mechi ilikuwa ni shughuli kubwa. hakuna wa kulaumiwa hapo. Lutaro bado ni foward mzuri, simply alibanwa. Pia tukumbuke presure za UCL ni kubwa, wachezaji kama akina Drogba tu ndio foward asiyechukuliwa na presure za mechi kubwa
Jana Inter walikuja na mkakati kabambe ambao ilikuwa kidogo tu ilete matunda

Wachezaji muhimu wote wa City kule mbele walipewa kibano kweli kweli
  1. KDB
  2. Beernado Silva
  3. Grealish
  4. Gundogan
  5. Haaland
Hao wote jana walikutana na ukuta wa Berlin
 
Back
Top Bottom