PEP YA MAN CITY[emoji20] [emoji20]Mashabiki hawana kelele kama kocha ana pata matokeo hata kama kuna makosa ana yafanya [emoji1614][emoji460] Ebu mie nifunguke sasa Pep ya Manchester City game 5 za mwisho haija shinda game hata moja [emoji457][emoji457] hata game zilizo pita alishinda lakini quality si ile tena tunayo ijua🪓🪓 Kakosea wapi au ni matokeo tu ? [emoji441]au ndiyo hakuna marefu yasiyo na ncha ? [emoji185][emoji2788][emoji2788] Ki taalam Pep kafanya makosa makubwa wengi hawwoni kama ni makosa kwa sababu eti ni "mtalaam" alimuondoa Cancelo aliye kuwa key player wa magoli japo ni beki na pia alisaidia sana kiungo cha kukaba akiingia ndani kidogo kwa kuibia !! Kama haitoshi akamuachia Mahrez simple tu , huyu Mwarabu mwafrica alijua ju fanya high pressing na pia alijua goli liko wapi kazi ambayo Glealish haja fanya hata robo sukari, Twende kwa Gundogan ntaalam wa pass ling ball na short balls ana kupiga muhimu Pep Kipara kamuachia easy tu eti Rodri ana tosha , Rodri ni mzuri kwa pass za kawaida siyo "mpenyezo" nyie mnanita asisst [emoji102][emoji102] Man City ime poromoka hakuna anaye igusa kisa Pep kafanikiwa ku dominate EPL misimu 7 Ndoo 5 nani kama yeye , [emoji1609][emoji1609] , Mie peke yangu Steve Chitalu ni jitia sadaka kwa kandia hii 🪓🪓 kama "Mbwai iwe Mbwai" Adios Amigos , tukutane saa 1[emoji1609][emoji169][emoji172]