goswe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 4,432
- 5,036
Majeruhi babaHii Ni maajabu stone anacheza kama DM Lakin anastruggle .....
Tunashambuliwa Sana na hatuwezi kushambulia Kwa sababu Hakuna creative midifilder wala DM mzuri WA kuweza kutawala Kati ....
Stone na Lewis Hawa n defender by nature pep analazimisha wawe midifilder mbaya ziaid washambulie kitu ambacho sio rahisi Kwao ....
Tunacheza na defender wengi kuliko washambuliaji ..
Walker ,stone ,akanji ,Dias ,Lewis ,gvadiol .....wote Hawa defender ....bernado Silva haonekan...