Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Mpe heshima mzee wa watu, kamfukuza pep mara 2 kwa point 1 mpaka ligi inaisha.Ila kloop kocha mjinga sana mpaka leo najiuliza alimwachiaje kipara akachukua ubingwa mara nne
Kloop na arteta na mashabiki wa hizo timu pumbavu
Hiki kitu ndicho kilichomzeesha kloop 🤣🤣🤣 ebu fikiria point mojatu😂😂😂Mpe heshima mzee wa watu, kamfukuza pep mara 2 kwa point 1 mpaka ligi inaisha.
Usimlaumu mkimbizaji, angalia na aliyekuwa anakimbizwa ni nani.
Acha kukaririNi muda sasa mashabiki wa man shitty kurudi kwenye timu zenu za awali ( wengi wenu mkitokea arsenal na united)
Hahaha kumbe naqe ni mwacity.Sijui tumepatwa na nn? Kila siku ni kuporomoka tyuuh.
Inakera, [emoji22][emoji22][emoji22]
Kacheze wewe mkuu.KDB kwa kweli muda wake umekwisha, game ya leo mpaka unajiuliza huyu anafanya nini humu.
Hiki ndio nini sasa umeandikaKacheze wewe mkuu.
Niwacheee!!Hahaha kumbe naqe ni mwacity.
Hiki ndio nini sasa umeandika
Ulishawahi kucheza mpira?Hiki ndio nini sasa umeandika
Mimi nimeandika hali halisi ilivyokua kwamba kdb jana hakuwa na presence yeyote kitu ambacho mtu yeyote aliyeangalia mpira amekiona.Ulishawahi kucheza mpira?
Mpunguze lawama.