Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna noma tuna uhakika wa kucheza Uropa msimu ujaounadhani kwa muujiza watapona?
Money Can't buy you success. Proven today.
Still there is only one football team in Manchester-Ricardo Kaka
Kuna mshabiki hata mmoja wa MAN CITY hapa JF?
Mwaka wa tabu......,Mancini utapona?
Still there is only one football team in Manchester-Ricardo Kaka
Roberto (bob)Martinez muhispaniola mzaliwa wa Balaguer jimbo la Catalunya mwenye shahada ya physiotherapy na postgraduate ya Biashara aliopatia chuo kikuu cha Manchester na mchezaji wa zamani Real Zaragoza,Swansea nk kadhihirisha bado waspain ni moto na muhimu ktk soka duniani kuanzia wachezaji na makocha bado Benitez ambae nae anatazamiwa j5 uefa ndogo chelsea vs benfica,maana toka aondoke liverpool haijacheza ucl na hajawahi kukosa kushiriki akiwa na liverpool,ni kama Wenger anavyojivunia rekodi hiyo toka aje arsenal hajakosa ucl kushiriki,zaidi ya hapo Man City jiliwazeni na hii nyimboLast 3 managers to win Fa cup all called Roberto...
2011 : Roberto Mancini
2012 : Roberto Di Matteo
2013 : Roberto Martinez
Roberto (bob)Martinez muhispaniola mzaliwa wa Balaguer jimbo la Catalunya mwenye shahada ya physiotherapy na postgraduate ya Biashara aliopatia chuo kikuu cha Manchester na mchezaji wa zamani Real Zaragoza,Swansea nk kadhihirisha bado waspain ni moto na muhimu ktk soka duniani kuanzia wachezaji na makocha bado Benitez ambae nae anatazamiwa j5 uefa ndogo chelsea vs benfica,maana toka aondoke liverpool haijacheza ucl na hajawahi kukosa kushiriki akiwa na liverpool,ni kama Wenger anavyojivunia rekodi hiyo toka aje arsenal hajakosa ucl kushiriki,zaidi ya hapo Man City jiliwazeni na hii nyimbo
Mbaraka Mwinshehe - Jogoo La Shamba . - YouTube
City will be back next season fully loaded.
Wachezaji tunao,ila kocha hatuna.