Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hongera zenu na game ni saa 4:45 usiku..Mtanange wa leo utapigwa saa ngapi wadau wadau?
Nipeni ongera as well mzee wa Arsenal mwaka wetu huu. Tunaendelea kunenepa tu kwa furaha wakati watani zetu wa jadi Man u siku hizi wanakonda kwa pressure za kusubiri wasawazishe ili washangilie. Aturudi nyumba mwendo mperampera.
Ndo mpira!timu bora imefungwa
Poleni sana jamani Sio mbaya ila kukosekana kwa Fernandinho,Aguerro,Nasri na hata mirner kumewagharimu!
Maana jana yalikuwa yanaonekana dhahiri mapengo yao mara nyingi silva hamalizagi dk90
Mkuu DullyJr sizani km hiyo ni sababu Kwasababu City wamekua wakishinda ata km Aguiro hayupo!
Kuhusu Fenandinho sijui yuko majeruhi au ni Kocha tu aliamua kumchezesha beki as holding midfielder?
Lkn kauli ya Jose Mourinho ndipo inapokamilika kwamba na wao pia wanapaswa kutuzia!
Mkuu ndetichia pole sn na ninafikiri ata game yng na wewe ya FA ya tarehe 15 utakua sasa utakua na 50/50.
Mimi naijua Chelsea na Mou vizuri sn ndio maana huwa tukisema ukweli nyie mnatuita wabishi!
Pole sn na jiandae tena kwa game ya tarehe 15.
Ndo mpira!timu bora imefungwa
uzuri wa premier hakuna mbabe ni hilo tu..
Tulipowafunga mechi ya kwanza Aguero alikuwepo; na Fernandinho pia; kwa ufupi sisi ni timu ya ubingwa; tunawasubiri Arsenal tuwafundishe adabu na heshimu pale kwetu darajani.:violin: