The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The last English team to have won at Nou Camp was Liverpool in 2007 Uefa Champions League.
 
Tukiweka ushabiki pembeni, refa wa leo anaharibu mchezo kwa kuelemea upande mmoja
 
Tukiweka ushabiki pembeni, refa wa leo anaharibu mchezo kwa kuelemea upande mmoja

Kweli kabisa mkuu mimi shabiki wa man utd ila leo refa kawamaliza watani zetu walikuwa wamewamudu vizuri tu barca,tazama bao la Messi ni offside kabisa tazama penalti kawanyima,Angalia red card zote utata tu
 
Back
Top Bottom