The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Kuna timu raha sana kushabikia..yaaani man city sukari tupuuuu
 
Kuna timu raha sana kushabikia..yaaani man city sukari tupuuuu

Kigogo kumbe we mnazi wa city? Haya bana kila laheri ktk ubingwa maana mkiwaachia liva au chesi hatutaishi kwa amani mtaani
 
Last edited by a moderator:
Huyu manywele sijui demichelis ni utumbo,sana sijui manuel anampendea nini huyu
 
Back
Top Bottom