Hahahaaa,yaani leo anisahau kabisa! Ukipenda boga penda na ua lake.Alinikuta napiga umbea JF hana budi kuvumilia. Lol
......mmmh!
Duuuh!a ila tym ll tell, atakubadili taratiiiibu, utashangaa mwezi ckuoni humu, mie wangu ashanipiga biti weeee kachoka
Hahahaaaa! Na akikosa basi hili jukwaa siingii tena nakwambia
Mlokole tena Hahahaa. Asaignment zinazidi wakati za awali bado hazijamalizika au tayari.
Hahahaaa,hizo ni assignment kwenu nyie mliokuwepo enzi hizo.
Sasa mimi wa juzi namjuaje mlokole aliyekua anavuma humu ndani?
yupo mlokole mmoja anapenda chiniHahahaaa,hizo ni assignment kwenu nyie mliokuwepo enzi hizo.
Sasa mimi wa juzi namjuaje mlokole aliyekua anavuma humu ndani?
Mimi naona wako at least kafanikiwa kidogo jamani!
Mimi sijui itakuwaje kwa kweli!
Nakuhakikishia yupo.Wewe subiri uone kama atakuja hapa.Na hata akija wewe soma response yake ikoje.
Yule alivyo mnafiki hapa hakosi, yaani hapa sibanduki mpaka huu ubuyu uishe.