The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

Hahahaaa,yaani leo anisahau kabisa! Ukipenda boga penda na ua lake.Alinikuta napiga umbea JF hana budi kuvumilia. Lol

Duuuh!a ila tym ll tell, atakubadili taratiiiibu, utashangaa mwezi ckuoni humu, mie wangu ashanipiga biti weeee kachoka
 
He is too empty maskini!!
Still,and he will always be!
Niliwahi sikia wanasema kuna watu ni maskini sana all they have is money!
Ndo nimeielewa sasa!
 
Duuuh!a ila tym ll tell, atakubadili taratiiiibu, utashangaa mwezi ckuoni humu, mie wangu ashanipiga biti weeee kachoka

Mimi naona wako at least kafanikiwa kidogo jamani!
Mimi sijui itakuwaje kwa kweli!
 
Hahahaaaa! Na akikosa basi hili jukwaa siingii tena nakwambia

Nakuhakikishia yupo.Wewe subiri uone kama atakuja hapa.Na hata akija wewe soma response yake ikoje.
 
Tayareeeeee wameanza kunyoosheana vodole wenyewe hahahhhhhhaaa!ngoja nifikishe mzigo wa boc kiwandani narudi kuwamwaga hadharani,hapa zege halilali.
 

Attachments

  • 1429889253976.jpg
    1429889253976.jpg
    26.1 KB · Views: 467
Mlokole tena Hahahaa. Asaignment zinazidi wakati za awali bado hazijamalizika au tayari.

Hahahaaa,hizo ni assignment kwenu nyie mliokuwepo enzi hizo.
Sasa mimi wa juzi namjuaje mlokole aliyekua anavuma humu ndani?
 
Hahahaaa,hizo ni assignment kwenu nyie mliokuwepo enzi hizo.
Sasa mimi wa juzi namjuaje mlokole aliyekua anavuma humu ndani?

Hahaaa ila Hatuchekani, angalia muda niliojiunga na idadi ya post.
 
Hahahaaa,hizo ni assignment kwenu nyie mliokuwepo enzi hizo.
Sasa mimi wa juzi namjuaje mlokole aliyekua anavuma humu ndani?
yupo mlokole mmoja anapenda chini
 
Huu ubuyu ni wa Zanzibar tena jinsi unavyo gombaniwa
lara 1 nipe commission nikusaidie kufanyia promotion hii biography Sijui wenyewe mnaita, maana inaonekana jamaa anatamani kujulikana JF nzima so mimi nitafanya promotion kwenye majukwaa yote ya JF.
 
Last edited by a moderator:
Interesting indeed!......fanya mpango post za muendelezo ziwe juu pale kwenye post #1

Story itakuwa nzuri na mtiririko mzuri kuliko kuichanganya kwenye coment zilizojaza ubashiri!!

Sent from JamiiForums
 
Mh!MMU itakuwa ni ya watu wazito sana tena wote wa mjini hapahapa.
 
Mimi naona wako at least kafanikiwa kidogo jamani!
Mimi sijui itakuwaje kwa kweli!

Kafanikiwa wapiiii? Mie dhiki zangu ndio zinanipotezaga humu ila sio yeye kwakweli
 
Nakuhakikishia yupo.Wewe subiri uone kama atakuja hapa.Na hata akija wewe soma response yake ikoje.

Yule alivyo mnafiki hapa hakosi, yaani hapa sibanduki mpaka huu ubuyu uishe.
 
Back
Top Bottom