The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

Gadem.... huyu mdada nimeshamjua. Hakyamama nina kipaji kama Alshaabab.

Nyie shikaneni ugoni tu. Ohoooooo! Mkimaliza mniambie WHO THE https://jamii.app/JFUserGuide IS SILENT KILLER?
 
Nilikua nasubiri response yako kwa hamu sana.Yaani dume zima unaenda kukaguliwa? Au mimi ndio sielewi maana ya ukaguzi?
Hahahaaa!

Wewe nawwweeee tummma messsejji
 
Nyie shikaneni ugoni tu. Ohoooooo! Mkimaliza mniambie WHO THE https://jamii.app/JFUserGuide IS SILENT KILLER?

We nawe si umalizie haka kaumbea?? Dume zima nimekaa hapa nakodoa mimacho hapa wakati wadau wananisubiri Hisaje nikaziadhibu Guinness za baridi.
 
Wadada mmaaarufu mpooooooo?

Hahahaaa,sipati picha muandishi PM yake ilivyojaa.
Wengine watakua wanataka umbea na wengine ni wahanga wa hii story sasa wanabembeleza isiendelee...lol
 
Hii ID sina kumbukumbu kama ilishaingia kwenye list ya wajukuu zangu niliowakagua.....

Hebu twende PM tukapange mikakati ya ukaguzi

Hebu nikumbushe ID yako ya zamani..... lol

Hii shkamoo najua ni ya kutafutia umbea. Ukinifuata PM naweka mambo hadharani.....

Gadem.... huyu mdada nimeshamjua. Hakyamama nina kipaji kama Alshaabab.

Mzee mwenzangu...konyagi leo inashuka taratibuuuu kbs...
Kesho tuonane kama kamati..cc naniliuu
 
Utasutwa na mashujaa band! Hahaaaaa!


hhhahhaaaaaaahhhaaa

kusutwa ndo habari ya mjini tena walete na keki juu na champaigne plus sare ya dira

mpapa wauze wenyewe kwa mr. biography...!!!
msuto wanileteeeer mie
weraaaaaaaa

lara leo nimekupenda mpk kumoyooo
 
Mimi naomba nikuthibitishie...ingawa vitu vingi amevibadilisha ili watu wengi wasimfahamu...lakini hii story ni 95% true. Sijajua lengo la mwandishi ni nini kwa kweli ila ndo ivo yani dah!

dah!

dah!

dah!

The nigga is not serious!!!! ( Karucee, kuna ile inner voice inakuambia this story has something....)
The thread really psyched you .

Bado umeitolea mijicho?
 
Last edited by a moderator:
We nawe si umalizie haka kaumbea?? Dume zima nimekaa hapa nakodoa mimacho hapa wakati wadau wananisubiri Hisaje nikaziadhibu Guinness za baridi.

hivi hii inawahusu na wale wabeba boksi eti
 
We nawe si umalizie haka kaumbea?? Dume zima nimekaa hapa nakodoa mimacho hapa wakati wadau wananisubiri Hisaje nikaziadhibu Guinness za baridi.

Tatizo mmeanza fujo za kutaja taja watu! Mnahisi hisiiiii. Mnanitisha mjue. Nitakuwa simalizii namna hio.

TULIENI NISHUSHE BOMU LA MLOKOLE! IMEBIDI NIZIMUE ST ANNA KWANZA MTUMISHI WA MUNGU HUYU ANATUNHULIWA OOOOOOH! Acheni papara mfaidi mambo.
 
Back
Top Bottom