Hahahaaa,kwakweli nimecheka balaa...
Kwahili simtetei Viol kabisa.Na atueleze kajuaje huyo mlokole anapenda chini.
Hahahaaa,sipati picha muandishi PM yake ilivyojaa.
Wengine watakua wanataka umbea na wengine ni wahanga wa hii story sasa wanabembeleza isiendelee...lol
Tena we ndio bingwa wa kumterea kwa kila madhambi yake, we endelea tu na mtanieleza huu utetezi ulianzaanzaje!
Yaani i wish ni ihack ac yake
lara 1 kumbuka kwenye blacklist wewe ni namba 2..so we tuzungushe tuuuuu..ila uturudishe hapo.
The thread really psyched you .
Bado umeitolea mijicho?
Nikasema nikataka kumwambia mi The Boss, lakini nikajikuta tu nasema mimi Watu 8, the imposturee. Basi kipindi hiko Lara 1 anamsifia watu 8 hatariiii. Basi ananiuliza so kweli you are hot kama wanavosema kina Lara, those girls lazima wakutaje, haiishi siku. Namwambia why dont you find out for yourself?. Basi kakapagawaaa! Alivompanaa akaenda kuwauliza watu walioenda party huyu watu 8 yukoje? Akapata positive review, nitumie pichaa, nikamtumia yangu, akadataaa. Nacho shukuru Mungu ni watu 8 kafunga PM so there is no way ange m PM na kujua mimi ni imposture. Basi nikakatoa out, kamelgeaaa, nikasema hii hailali wala simpeleki home, nachukua room hapa hapa. Tumekunywa nikamwambia tuamie chumbani, akakubali, kazi ikaisha. Sema mambo hakajui wala nini masharti kibaoo, sishiki MIC, sijui nini. Aaaarggh! Kesho kani text Bae! WTF! Nikakaptezea mdogo mdogo. Nikamuuliza yule mchizi ile kazi ushaifanya? Yani kashamla yule demu? Mchizi akajibu kwa masikitiko kaniambia hawezi kukutuna coz yuko comitted na watu8 they are dating in a serious relationship! Hahahahaaaaaaaa! :lol::lol::lol::lol::lol:! Nikasema watu8 eeeeh? Wachaaaaa! huyu watu8 mshenzi kweliii, kakuzibia rizki! Akasema ndo hivoo. Watu 8 nisamehe kwa yote, na bi dada it wasnt wasnt the real watu8 it was me the silent killer, the imposture! Ila kiukweli haikuwa uungwana kufunga goli kwa mkono kama Pele.:lol:
INAENDELEA BAADAE! NAENDA LUNCH KWANZAAA, LOOOH! Japo nimelipwa lakini si kihiviiii. Tukutane Saaa 9 KWA MUENDELEZO.
hhhahhaaaaaaahhhaaa
kusutwa ndo habari ya mjini tena walete na keki juu na champaigne plus sare ya dira
mpapa wauze wenyewe kwa mr. biography...!!!
msuto wanileteeeer mie
weraaaaaaaa
lara leo nimekupenda mpk kumoyooo
95%???? Hapo umemshushia heshima lara 1.... Hii makitu ni ukweli kwa 100. Kama akiendelea kufichaficha ntamuomba kibali cha kupigwa ban nawataja wote hadharani....
Dogo kawafanya mbaya hawa wamama.... Namwonea huruma yule wa ...... ngoja nimstahi kwanza.
i know..ila nimemkumbusha tu..coz naisubiri kwa hamu hiyo partHahahaaaaa! Eti black list!! Bora umemkumbusha maana!! Ila hii itakuwa ikiendelea huku akisubiri ile jf party sasa hizi ni zile za chap chap kabla ya kugoogle lara
Mwalimu weekly test ushasahihisha lkn?
Nimtajeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hapa 1,2,3, agaaaah naombeni pesa hapa namlipua daka 0 nyingi
Sina genge wala duka..pia nasoma ninachojisikia kusoma hata usipotaka...we hata ukipanic mi ntaendelea kukukumbusha..
Hahahaaa,jamani mimi nifah hua napenda kutetea kile ninachokiona ndio sahihi.
Mimi ile siku niliyomtetea niliona hana kosa ila leo kwakweli simtetei kabisa.Naona kajisahau hadi karopoka.Na aseme ukweli. ..lol
Mimi naomba nikuthibitishie...ingawa vitu vingi amevibadilisha ili watu wengi wasimfahamu...lakini hii story ni 95% true. Sijajua lengo la mwandishi ni nini kwa kweli ila ndo ivo yani dah!
dah!
dah!
dah!
The nigga is not serious!!!! ( Karucee, kuna ile inner voice inakuambia this story has something....)
Wala.Wewe zidisha manjonjo akikolea mwenyewe atakupa password bila hata kuombwa.