The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

mdogo mdogo hadi nijue jina huyu bedui
 
Ukipaliwa.na maji nipo karibu kukuokoa missed you too atoto..haya nambie hii sredi inahusu nini hasa? Maana nimeikuta kati hapa kelele nyingi......

Yaani u cant emagine nilivyofurahi jamani, wee acha tu hapa ni patashika nguo kuchanika, muulize Asprin ndio mwenyeji zaidi hata mie mgeni
 
Last edited by a moderator:
THE AUTOBIOGRAPHY CONTINUES!!!!!!!!!!

Binti mlokole sijui alitokea wapi, alikujaje sijui, lakini in no time everybody knew her! I never liked her to be honest. SHE WAS TOO SAINTLY, TOO SENTIMENTAL, AND TOO NICE TO BE REAL! The minute i red her nikagundua huyu dada ANAIGIZAAA. I am a church boy myself at least used to be, so i can smell church pu.ssy from a mile and this posing to be church pu.ssy was written GHETTO all over. The thing about binti mlokole SHE WAS ALWAYS ON THE RIGHT SIDE! Always drawing the HOLLY card! Mmmmmh! Honestly hakuwa katika THE LIST sababu like i said SHE ALWAYS TELLS YOU WHAT YOU WANT TO HEAR! I was not sure if i should do her or should not! Kiukweli hakuwahi kuniboa chochote manake mtu anaishi kwa script humu ndani atakuboaje kwa mfano? So sikuwa na recourse against her, wala motive.

Akaanza kujiona keki humu ndani na kuendorse BIG NAMES, mtu kama hun jin analeta nyodo, well nikamsamehe kwa hilo mpendwa katika bwana. Kusema kweli i like my women nasty na huyu alikuwa too much acting i nearly passed on her not until she did my pal injustice. Well katika kunywa kunywa na Mabazazi ya humu nikaona wana mu hype tu for nothing. Sasa bwana katika story za pombe wakasimulia kuhusu binti mlokole.

Issue ilikuwa hivi mabazazi wote wanajifanya kumtaka huyu mtoto, sasa kuna bazazi zee lilikuwa linamtaka huyu mlokol feki, anamchunaaa, anamlia helaaa, hampi. Si mnajua you can not teach an old dog new tricks! Mzee mzima anatoa tu helaaaa! Binti hampi chiu wala nini, i nearly respected her for that tatizo likaja pale DOGO BAZAZI, yaani DOGO DOGOLASI AKALA MZIGOOO! Watu kumpongeza na nini? Na huyu Dogo hahongiiii hata kumi maneno tu. Basi nikajadiiana na mzee akajifanya kukaza tu kiutu uzima, lakini I SAW HIS PAIN. Sema ndo atafanyaje. Nikasem okay, no sweat sababu bwawa lilishachafuka si mbaya nikiogeleamo na mie kidogo. Kabla sijajipanga kumla vizuri bazazi lingine likapitaaa! Tobaaaaaaa! Mara kila mtu kapitaa. Nikaona sasa tuwaite TACAIDS humuuu. Mmmmh! KUMBE CHA WOTE!

Napenda nyama lakini SILI MIZOGA! Siku hizi KAHAMA ID HUMU NDANI, alifugwa na mume wa mtu kunguru hafugiki, katemwaaaa, sahivi amevuka boda ame INTERNATIONALIZE anawashobokea wabeba box wasiomjuaaa, ila kwa bongo hampati mtu hata kwa promotion, labda kwa hio new ID.:lol:.

Nikiwa bado njishauri kubadilika na kutafuta msaada wa kisaikolojia kuhusu crush zangu na online chicks nikaamua kuachana na COUGARS kiushauri. Nikwa njitahidi kusamehe kwanza walionikosea so as i could move on, then this chick happened the love of my life in JF. Well huyu alinianza yeye from no where. Mambo sijui nini, nikahisi muwindaji nawindwa. I was carefull! Basi akaniambia kaskia nilionekana Leo tupo hapa pub, na nimekuwa recomended na shosti zake amu na Maddame B! Mmmmmmmh! amu mwenyewe alikuwa kwenye LIST wote na MADAM B, Team NO FREE P wana midomo sanaaa. Nikaona sababu wameamua kuni compensate sio mbayaa, i am willing to consider kuwapa msamaha wa rahisi. Katika kumhoji akasema not exactly kina Amu wamemwambia bt waliongea na flani,akaongea na flani, na flani mpaka vikamkuta and she thinks she likes me.

Sikukawizaaa kazi, katika kazi sitaki mataniii, nikaona kwa wema wake nikamualika home kabisaaa. Na hakuniangushaaa, sio mzuri wala nini lakini there was something about her kilinifanya nisimtimue. Basi tukala na nini, vinywaji, misifa kibao, kwako pazuriii, wale wazazi wako? Sijui nini kusafi utakuwa na demu inakuhusu? Sasa bwana huyu like i suspected was not like the rest.

Akanielezea story yake, sio nzuri kwa kweli, ni ya kusikitisha mnoo, kuna maswaiba yalimkuta na nini akiwa mdogo of which haikuwa makosa yake. Nikamuaasure na nini kuwa sio issue akaze moyo ni maisha tu. Umeonaaa! Basi i felt sorry for her, so sikumla wala nini, fisi nikageuka fisi maji. Sikutaka kumuongezea machungu. She wanted more na nini, tuwe na uhusiano ila kutokana na niliyotnda nyuma sikutaka kumvunja moyo. Mpaka sahivi anakuja home na nini, tunaongea vizuri, namfariji, he heart is broken beyond repair! She is so fragile, sijasema sitomla msianze kuniona mngese but i am taking it slow for now. I want her to trust me, to learn how to love again, mambo kama hayo Hakuna kitu lichoniuma roho kama kitendo cha Star mmoja kumtukana huyu ndege mnana. Huyo star ni mwanaume alinikeraa, maana alimtukana vitu kama vilivowahi kumkuta akiwa mdogo. Nikasema makumbigiris HE HAS TO PAY!

Nilimfanyia tukio hilooo akajiona DUME DADA! Je nini kilimkuta kidume mpaka kugeuka DUME DADA? inaendelea!
 
Last edited by a moderator:
Afu lara 1 hii ni strategy ya kurudisha uhai wa mmu kwa kuwavuta wakongwe, manake wengi wamejaa kwenye thread hii lol hongera kwa hilo
 
Last edited by a moderator:
Binti mlokole ana upakoooo!! Heheheee
Imefika zamu yake vidole vya lara 1 vikafreeeeeeze!

Wallah nimecheka leo na hizo comments sasa watu wanavyohangaika kuguess! Lol
 
Last edited by a moderator:
Thread ina wasomaji wengi mnoo Lara nasinzia bwana njoo malizia.

mdogo mdogo hadi nijue jina huyu bedui

Endelea basi maana kama saa mbili unusu ishapita muda.

Malizia basi lara wengine time za kutoka humu zinakaribia.

nasikia utamu ila humu ndani kuna watu washanza jistukia sana ila bora mwendelee zuga ivoivo maana mkikaa kimya kabisa wakati sio kawaida yetu guessing zitazidi.

Mie lara tu ananikata stim hapa

ZIGO LIMETUA LA MOTOOOOOOO TOKA JIKONIIII! :lol::lol::lol::lol:! Msije kufa tu kwa kupaliwa ubuyu! Ohooooooooooo!
 
Babu Asprin, Baada ya kusoma stori ya binti mlokole natumai sasa utamruhusu mtumishi wako apumzishe kichwa chake.

I rest my case...ADIOS!
 
Last edited by a moderator:
humu ndani tulishasema watu wanaoongoza kutoa ushaur mzuri ni WAONGO NA WANAFIKI.......hii story ya huyu mlokole inaweza kutupa picha ya watu walivowanafiki humu ndani!!kuna wanafiki wa2 walimshadadia mwanamke mwenzao juzi kati hapa kisa kavamia ka sredi kao kakinafiki......kwenden huko
 
THE AUTOBIOGRAPHY CONTINUES!!!!!!!!!!

Issue ilikuwa hivi mabazazi wote wanajifanya kumtaka huyu mtoto, sasa kuna bazazi zee lilikuwa linamtaka huyu mlokol feki, anamchunaaa, anamlia helaaa, hampi.

Zee Bazazi!
....nawaza tu!
 
Hahahaaa,haya nasubiri ya dume dada! Uwiiiiii leo ni hatariii. ..
 
ZIGO LIMETUA LA MOTOOOOOOO TOKA JIKONIIII! :lol::lol::lol::lol:! Msije kufa tu kwa kupaliwa ubuyu! Ohooooooooooo!

Tumeupata ila binti mlokole utakuwa umechakachua sio bure, chezea upako wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…