The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

Babu Asprin, Baada ya kusoma stori ya binti mlokole natumai sasa utamruhusu mtumishi wako apumzishe kichwa chake.

I rest my case...ADIOS!

Hahahahaaaaaaaaaaaaa! NYIE MBONA MNAONGEA KWA CODE? Who the https://jamii.app/JFUserGuide is silent clear? DONT TELL ME NI BAZAZI ASI?

DONT GO I NEED YOUR HINT KWA HUYU DUME DADA! I really need to know who is he? PLEASE!
Asprin unahusikaje na BINTI MLOKOLE? Au ndo bazazi zee? HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA! Nitacheka mpaka nizimie, kweli shimo la panya halizibwi kwa mkate.
 
Last edited by a moderator:
Binti mlokole ana upakoooo!! Heheheee
Imefika zamu yake vidole vya lara 1 vikafreeeeeeze!

Wallah nimecheka leo na hizo comments sasa watu wanavyohangaika kuguess! Lol

Shoga nawewe utakosekana kwenye list kweli? Maana wewe nae mkongwe ati? Lol
 
Last edited by a moderator:
Ila mdada una kipaji cha kuandika hatariii......hongera zako aisee!!!
 
ni papuchi search!! maneno ni mengi,

kuna watu wanapenda nyuchi asee...
 
Usingeingia kwenye hii thread ningebadili dini....

Kuna story ya mlokole inakaribia kupakuliwa na lara 1 hapa. Kama ni wewe napingua uchumba..

ha haa.Mie nilikuwa mafichoni imetokea tu nimepita mitaa hii nakutana na ubuyu.Sasa unanitajia au?maana story inasema silent killer alikuwa anaomba ushauri kwa team bazazi
 
Last edited by a moderator:
Hahahaa. Itakua kuna kaukweli fulani hivi lkn. Ila umedimika sana aisee.

Hmmmm inawezekana ehhh?Mi bado sana kuamini, nimevutiwa tu na mtiririko wa matukio.

Nipo, sema tu siandiki sana.
 
Mimi niko mbali kidogo, si rahisi kujichanganya. Hata party zenyewe tu naziogopa! Hahah

ha ha ha...hivi ukihudhuria party ni lazma usema na ID yako?

Kwanini uogope? while wewe ni mzuri?..
 
mtumaji wa post hii inaonekana una matatizo makubwa ya kutumia lugha ya kiingereza kaa tena chini usome lugha hii hasa katika mambo ya sheria ya lugha (Grammar) na masuala ya sentence structure (syntax ) uko vibaya sana katika mambo haya alafu hakuna ufahari wowote kutumia kiingereza wakati hukijui vizuri ahsante kwa leo!!
 
Back
Top Bottom