The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

duh! napenda umbea lakini huu hapana! n kyokyi ki?! kumbe unaweza kufikiri umekula kumbe uliyemla naye anasema amekukula? Sasa kama yule mama mtu mzima sijui ndo cougar kwa kingreza si aliona amekula (gegedo na 400,000/= mlimani city) kumbe jamaa nae anasema amekula. Huyu mama kanichekesha sana. "Ushauri? ushauri kaombe kwa mamako mzazi, hapa mgegedo tu na bili utalipa. Sijali umri mie...hahahaaaaa"....Yule wa shanga nae kakimbiwa kwa kuhisiwa hatari yeye akavimba kichwa akajua jamaa kazidiwa ufundi kumbe kunguru kakimbiza bawa lake, ila aliyewahi kuripoti ndo anaonekana bingwa. Haya bana, mwanaume mwanaume tu.

Ila kilichoniuma kuliko vyote ni mimi toka nimejiunga sijawahi kupata ka PM hata ka "hi" wakati wengine hadi "steers" wamefikishwa. Wivu umenishikaaa. Sawa, sikufata PM lakini kama zipo jamani basi uzipate uzikatae,lakini hupati kabisa!! Nafurahia ustadi wa uandishi wa Lara 1 lakini jamani ndege wataperukaperuka hapa.
 
THE AUTOBIOGRAPHY CONTINUES!!!!!!!!!!

Dume dada ni mkongwe humu ndani, ana abudiwa like some kind ofa a god. Huwaga anatukana watu sanaa lakini hawamrudishiagi. Honestly mimi namkubali kinomaa, pamoja na kumfanyia Tukaio bado namkubali vile vile lakini he was not fair kumtukana broken heart! Ningeweza kumsamehe but i had to do something ili broken heart anione kidume, and i could protect her from the rest. Afeel secure arround me.

Kiukweli alilia sanaa baada ya lile tukio niko kazini napata simu ya vilio, nikamwambia njoo home, kumariji na nini,ndo ikabidi kidume nijiongeze kuja na revange plan. Akalala kwangu pale, lakini sikumla wala nini, usiku nilisarandia kweli ule mlango w chumba chake si uongo ikabidi niwahusishe CHAWAPUTA ili nilale vizuri. Nikamwambia broken heart usiwazee, nitakuonesha huyo firauni live uone he is not worth your tears. Akasema he is somekind of MMU god na nini, mmmmh! Kidume nikatoa guaranteee kuwa sio issue.

Sasa kuahidi rahisi. Kimbembe utekelezaji. Ndo nisha promise THE MOON AND SUN IN A COMPLIMENTARY PACKAGE. The thing about soon to be dume dada, he is so smart! WAY TOO SMART! Hana scandal, hana shobo, hana njaaa, hana marafiki! HOW DO YOU BEAT DOWN A MAN LIKE THAT? Nikaresearch weeeeeeee, nilichoambulia ni speculations tu huenda ni Point 5 ndo maana ana mashauzi sanaaa. Just speculations tu. Daaaaaaaaah! Siku zinaenda sidelivi kule, nazidi kudaiwaaa. Basi binti akaanza kukata tamaa, mwenyewe nilianza kukata tamaa.

I knew he must have some kind of weakness, nikawa najiuliza WHAT WAS HIS WEAKNESS! Sipati jibu. Kama Mungu tu kuna binti nikamuuliza unahisi flani udhaifu wake nini, akanijibu tu kirahisi, PU.SSY! He might be a tight ass in here but he can never resist a good, beautiful, silent and most of all FREE PUSSY!!!!!!!!!!!!:shocked: Who would have guessed? JACKPOT!:eyebrows:. He was going down!!!!!!!!!!

Kuna ID yangu ya zamani nilikuwa naitumia hajipambanui kama dume au jike. Nikaanza kum pm. Hello! Ananijubu dry dry! This is dude is proud jamani khaaaaaaaa! Sikukata tamaa, wiki nzima namu hello tu! Akaanza kulainika. Nikaanza kumpanga sasa. Nikamwambia mie mdada in my 40s, a single mum, nafanya ICAP, ni reseacher, ni phd in epidemiology kutoka Mossow, uongo ulio ungana. LIKE I SAID HE IS VERY SMART! Just a slight mistake all plan is gone with the wind. Na nataka NO STRINGS ATTACHED! Hahahaaaaaaaaa!

You will never believe it! He bought it, every part of it!:lol:! Akawa nikimpotezea ananianza mwenyewe kabisaa angejua DUMENA KENGELE ZAKE!:eyebrows:. Ile speculation about him was not wrong one bit. Na mimi sifanyi makosa, nika plan get together Zanzibar, my treat! Kuzindua uhusiano. Mngmuona dume zimaa linavopaparika! Ama kweli the bigger the lie the easier it is believed.:lol:. Lina suggest kabisaa hoteli bila hayaaaa!!!!!! Diamonds La Gemma patafaa zaidi! Nyokooooooo! We pale 1 night $800 na zaidi. Ama kweli watu wnaitumia JF ipasavyo! Hahaaaaaaaa! :lol:

Nikamwambia dont worry, hata pemba naskia kuna chumba chini ya maji i can afford it, if it will turn you on! Anajikosha kosha tu! Hahahah! Nikaweka mambo cristal clear, you know what i want and i am expecting katika hii vaccation, i need kupata your assurance sisi watu wazima. Sitaki tufike kule kuwe na blurred lines. Naelewa, usijali, its okay mimi mtu mzima.

Nikamwambia hataaa, to be more clear nataka tukubaliane tukifika kule by your company i mean we will be fuc.king every single day kule! Akajikosha i know! Usiwaze sanaa. Hahahaaa! Basi tarhe ilivokaribia nikamuonesha bookings za watu wa 2, za hoteli, kadataaa maana alikuwa na shaka. Actually kuna boss kuna boss alikuwa anaenda huko na mchepuko wake nikau azima zile bookings receipt nika scan. Nikasuggest worm up meeting Level 8. Ili tusipande ndege strangers kagoma kutuma picha hapo haniamini amini bado. Jamani yuko guard 24/7. Kidogo zile risiti zilimpagawisha akakubali kuja level 8.

Tukaenda na broken heart, mi ndo nachat nae simu iko silent, anajitahidi kutafuta mdada single anae chat, haoni maana wako wengi. Nikimpigia simu iko silent! Mmmh! Nikamtext njoo chini kwenye ngazi, nikamuona point five huyoo anashuka ngazi.Basi ana nitext sikuoni sijui nini. Hahahahaaaaaaaaa! Nikamuonesh broken heart huyo hapo. Nikamwambia tunakuja simama hapo parking. Hao na broken heart tukamkuta point five yule yule alieenda kwenye ngazi, parking linangaa sharubu! Nyokooo! Tukaingia kwenye Alteza motooo! HAHAHAAAAAAAAAAAAAA! But i like his balls, afte ze tukio he never called or pm hata kunitukana tu:lol:! Maybe he is still waiting! WHO KNOWS!

Sasa likaja saga la Lara 1, bibie mshenzi sanaa huyu. INAENDELEA.
 
Back
Top Bottom