The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

Hahahahahahahahahaha,uuuuuuuwih!!
Wallahi lewooo kende zimekuwa ndogo kama punje za ngano!!
Hahahahaha cacicooooooooooooo ukuje!
BADILI TABIA njoo shogaaangu!
Kongosho mume wenu kataitowa huku!!
Aseeeeeeeeh

Asa ndo mpaka uwaite wake za ujana wangu? Kwa taarifa yako cacico alinisaidia sana kumpata mlokole. wake zangu hawana wivu kiviiiile
 
Last edited by a moderator:
Story ya mwisho ni kweli,ingawa kuna chumvi kidogo
 

karibu tena
 

Unaanza kuniharibia ujue. Anayebisha mi si babu kizee ni nani? Hahahah au hujui uzee JF ni chambo??
 
hahaaaaahhhaaaaaa
bass nkajua nawe umo bwanaaa....!!(natania)

waunde kabisa umoja wao

mimi huyo niwemo kwenye list never on earth lol kwanza kupata namba yangu ni kibarua kigumu sana kuliko kufuzu ukomandoo FBI lol
 

Ndo yule kila saa ana mmention kwa chini? Walileteana mapenzi ya kisanii flan hivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…