The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!


nimekuelewa vizuri sana

si km humu lara kadharau mwl noo ila kuna mada zilishapita kuonekana sie walimu njaa kali as if tunashoboka na wenye vyao
kuna mdada alikandiwa sana kisa mwl ndo maana nimewapa kubwa
hao mabenkars na wachumi na wanasosholojia mbona nao wanamwagwa hadharani hapa wamepigwa kirahisi rahisi
 

oh! basi nimeingia chaka. Huko kwenye ualimu wala sikuwepo maana najua tabia hazina elimu wala fani/taaluma. Mie tatizo langu lilikuwa pale ulipowapa hongera wanaume wanaowagegeda wadada wasiojielewa.
 
oh! basi nimeingia chaka. Huko kwenye ualimu wala sikuwepo maana najua tabia hazina elimu wala fani/taaluma. Mie tatizo langu lilikuwa pale ulipowapa hongera wanaume wanaowagegeda wadada wasiojielewa.

asante kwa kunielewa na mie ndo nlitaka niwaambie
tabia haina mwl wala daktari
sote ni binadamu
km umekuja jf kuuza mpapa uza tani yako ht km we mbunge
ni nchi huru hii bwana
 

Weraweraaaaaaaaaa ODM is damn fucken clean........ Igweeeeeee!

Ukaguzi na uendelee kwa amani.

Apologise lady kam zis wei tumalizie tulipoishia
 
Last edited by a moderator:
Kudadaddeki, Asprin hazbendi unaona sasa umeponza vijana????



lara 1 leta huo ubuyu mwengine mate ya kumung'unya yapo
Hahahahah lucky me.... haka ka sailent tombanamo hakajagusa mmoja wa wake zangu. Ningekabadili jinsia afu kojoleo nalihamishia usoni. Hapana mtu kuchezea muke za ODM akasalimika....
 
Last edited by a moderator:
oh! basi nimeingia chaka. Huko kwenye ualimu wala sikuwepo maana najua tabia hazina elimu wala fani/taaluma. Mie tatizo langu lilikuwa pale ulipowapa hongera wanaume wanaowagegeda wadada wasiojielewa.

Nimependa maneno yako hapo:*-tabia haina tabaka, yeyote aweza kuwa na tabia inayowapendeza wengi ama ichukizao wengi. Ukiishi cku zote ujue kero ama namna yoyote ya ukwasi ni mchakato kuelekea ukamilifu. Kila tamu na chungu. Ukipata tamuu....furahia mafanikio ila usisahau kuwa na chungu zpo.:*-*-*na ukipata chungu...sema hizi ni changamoto kukufikisha kweny ukamilifu.

Nampenda sana mwalimu, ikiwezekana nimpate, niwe naye maishani(nimuoe). Mazingira ya mwalimu yana utulivu na ubize usio na makuu. Walimu vicheche wenye mtizamo wa kushine kwa mtaji wa pu.-ssy wapo, ila si wengi kivile...na wakiwepo wanaonekana haraka bila hata ya kutumia kurunzi. Teachers! Most of them are good wives. WALE WAKWARE TUTAENDELEA KUONANA. I Luv teacher kwa kweli, if i got one...sina tena sababu ya kupepesa macho na kuzungusha shingo kama feni...toward bitchz.
 


santeeeeeeeee

walimu wenzangu mpooo
mana humu tunapondwaga hatariii

haya fursa hizi kumbe zipo
 

hata sikuelewi. naona unajichanganya tu. umeunga hoja yangu mkono kuwa tabia haina elimu wala taaluma halafu mwishoni unasema unapenda waalimu kwa sababu wachache ndo wanatumia papuchi kama mtaji......sijui nini. Hata taaluma zingine hali iko hivi hivi ukiacha labda ile taaluma ya kusevu kwenye mabaa kunakuwa na changamoto na vishawshi na unyanyasaji mwingi. Hayo mambo mengine yanayoambatana na taaluma naweza kukuelewa kwa mfano ulivyosema mazingira yao yana utulivu hawako busy ukilinganisha sijui na taaluma ipi labda. Kama ni mwalimu wa chekechea anafundisha watoto 20, watoto wanatoka saa 6 na yeye anatoka saa 8, kweli huyo hawezi kuwa busy. Lakini mwalimu wa chuo mwenye wanafunzi 300-1000, ukute na ni mkuu sijui wa idara...huyu ataondoka asubuhi na kurudi usiku tena atarudi na furushi la makaratasi na laptop kuja kufanyia kazi nyumbani. Kwa hiyo tafakari kwa mapana kaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…