The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

hapa mwalimu mwenzangu sijakuelewa. Hapa nani anamdhalilisha nani? Kimsingi huyu mwanaume na hawa wanawake wote wamefanya mambo yao. Na msamiati wa kudhalilika hauko kichwani kwa yeyote kati yao. Unadhani kuna mwanamke yeyote miongoni mwa hawa amedhalilika? Wote wamefikia malengo yao isipokuwa yule wa Watu8 (nae angempata watu8 yeye ndo angestahili hongera kwa kufikia lengo lake).

Binti anayetumia mtego wa ucha Mungu kawanasa wote wale, na wengine kawalia hela na papuchi kawanyima; sioni mahali asipojielewa.

Mama mtu mzima aliyeonekana na busara za kutoa ushauri naye kapanga mkakati kijana akajitokeza hadharani akifikiri anaenda kupewa ushauri wa kumaliza tatizo lake la kisaikolojia. Kijana akanasa kwenye mtego wa mama. Huyu mama nae hajielewi? Kijana mwenyewe kasema hakutegemea lakini ndo hivyo aliwekwa kati akaliwa utamu na hela.

Kimsingi hapa ni ile habari ya kuuziana cheni feki kwa hela feki. Mtu anaazimia kutafuta hela ili ajithibitishe kwamba yeye ni kidume! Binafsi huwa sioni tofauti ya kimtazamo kati ya mwanamke na mwanaume anayemvulia nguo mwenzie. Wanawake tuna mengi sana ya kusema kuhusu hawa wanaume. Sema ndo majukwaa yetu saluni na vibarazani. Na kama wanaume wangejua huwa tunaongea nini kuhusu wao nakwambia kuna wanaume wangeshapoteza nguvu za kiume kwa sononi. Wanawake nao huwa wanaambiana mambo yao na kupanga mikakati ya kusaidiana. Mmoja akishafanikiwa anapeleka feedback. Unaskia "...shosti, siwezi kukusimulia....nenda na wewe ujionee..." Wanachora ramani, shosti naye anaenda. Shosti akitoka tu mlangoni anachukua simu na kutua yaliyomkaba kooni kwa mwenzie.."heee! shostiiiii....hapa sijui nicheke maana nahisi nitajikojolea, ngoja nije huko huko. Wakikutana sasa! Wanaanza kumchambua mkaka wa watu kuanzia maumbile mpaka utekelezaji. Mkaka naye saa hizo yuko Hisaje anajigamba kwa wenzie jinsi alivyoweza kuwala mtu na shosti wake bila wao kujua!! hahahaaaa....

Moyo wa mtu ni kiza kinene. Yaani mwanamke anataka hela yako au mwili wako, anajiwekea mkakati wa kukufanya ujipinde ili ufikie kiwango anachotaka, unaenda kutafuta hela hata kwa kuiba, unaenda kwake unapatwa halafu unakuja kujitapa hadharani kuwa umepata. Siwezi kumpa mwanaume kama huyu hongera kwa kufanyana na hawa wanawake, maana itakuwa namaanisha kuwa hawa wanawake ni wajinga, walikuwa hawataki, lakini kwa ujanja wa huyu kaka wamepatikana wakati ukweli ni kuwa walikuwa wanataka ila mwanzoni mwanaume huyu hakuwa amekidhi viwango. Alipokidhi alikubaliwa.

Mimi ni mwanamke, na huwa najiskia vibaya kidogo pale unapokuta kwa mfano katika biblia ni mwanaume tu anaonywa dhidi ya mbinu za mwanamke; anaonywa asimpe mwanamke/kahaba nguvu zake ; anaonywa dhidi ya mwanamke mtu mzima anayemdanganya kuwa mumewe kasafiri au kafa waende nyumbani kwake,anaonywa kwa kila jinsi asitumie nguvu zake, muda na fedha zake kwa mwanamke. Halafu unamkuta mahali anajisifia jinsi anavyokiuka haya maonyo. Mi nawapa hongera madume na majike yote yanayojiheshimu. Wasiojiheshimu siwahukumu maana ukamilifu si asili yetu. Mara nyingi hujikuta tukifanya mambo tusiyotaka lakini tunazidiwa nguvu. Tumeona huyu kaka kuna wakati aliona anataka kuacha na akatafuta ushauri ili aache, ila bila kujua akaenda kuomba ushauri kwa nyani kuhusu visa vya ngeder. All in all, he is not happy ila kama kuongea kunafariji, why not? Pengine ndo maungamo yanaanza.

nimekuelewa vizuri sana

si km humu lara kadharau mwl noo ila kuna mada zilishapita kuonekana sie walimu njaa kali as if tunashoboka na wenye vyao
kuna mdada alikandiwa sana kisa mwl ndo maana nimewapa kubwa
hao mabenkars na wachumi na wanasosholojia mbona nao wanamwagwa hadharani hapa wamepigwa kirahisi rahisi
 
nimekuelewa vizuri sana

si km humu lara kadharau mwl noo ila kuna mada zilishapita kuonekana sie walimu njaa kali as if tunashoboka na wenye vyao
kuna mdada alikandiwa sana kisa mwl ndo maana nimewapa kubwa
hao mabenkars na wachumi na wanasosholojia mbona nao wanamwagwa hadharani hapa wamepigwa kirahisi rahisi

oh! basi nimeingia chaka. Huko kwenye ualimu wala sikuwepo maana najua tabia hazina elimu wala fani/taaluma. Mie tatizo langu lilikuwa pale ulipowapa hongera wanaume wanaowagegeda wadada wasiojielewa.
 
oh! basi nimeingia chaka. Huko kwenye ualimu wala sikuwepo maana najua tabia hazina elimu wala fani/taaluma. Mie tatizo langu lilikuwa pale ulipowapa hongera wanaume wanaowagegeda wadada wasiojielewa.

asante kwa kunielewa na mie ndo nlitaka niwaambie
tabia haina mwl wala daktari
sote ni binadamu
km umekuja jf kuuza mpapa uza tani yako ht km we mbunge
ni nchi huru hii bwana
 
THE AUTO BIOGRAPHY CONTINUES!!!!!!!

Hili swala la kujigeuza mbeba box sikuli plan wala halikuwahi kukatiza ubongoni mwangu hata mara moja, ilitokea tu ka reflex action. Kuna wakongwe humu akiwemo babu la babu Asprin wanajishaua sanaaa, oooh nina magoma yangu ya uhakika, ya muda mrefuuuu, nachukua watu wanaojilewaaa siokoti okoti. Kitendo cha Asprin kuwa na STANDARDS katika michepuko yake, and the fact that fact that he is always honest hat he is happily married for a log time and he still gets the best pu.ssy in here all the time kiliniuma sanaaa ndani kwa ndani. It was like he was playing a different league, way too cool of a league. OVER TIME HE HAD BECOME THE LEAGUE ITSELF!!!!!!!!!

I did not like any part of it at all. Why? In case you are asking yourselves why because it was simply NOT FAIR! By this time he was hunting effortlessly! The prey was coming to him rather than him going on a hunt, begging eat me Asprin, eat me Asprin, eat me pleaseeee! It wasnt fair for 1 married man to get all the glory of the best pu.ssy , the educated, working class, multinational pu.ssy all by himself. NOT FAIR ONE TINY BIT.

Kusema kweli hili swala lika ni haunt sanaaa. Wazungu wanasema IF IT HAUNTS YOU BUY IT! Hahahaa! Nikasema ngoja na mimi nicheze ligi ya mabingwa kama babu la babu. Standards zilikuwa muhimu, lazima nipate demu anaejua kuoga, anakula na uma, ana smell class all over. Na sitaki vitoto, nataka wadada in their 30s., them beautiful, matured, sensible intelligent dadas just the way Asprin likes them. Basi katika pita pita zangu nikamuona mdada mmoja anaomba ushari yeye ni single mothe na nini.

Kilichonivutia ni wakongwe karibia woteee kumu endorse kirahisi rahisi tu. Mmmmmh! Ikaja post kwenye msiba wa nani sijui alitoa laki 8 rami rambi. Mmmmmmh! Nikasema this i what i am talking about. Atakuwa very humble and sensible. Nikaanza ku m pm kama kawaida yangu. Kusema kweli she was really a different league. TO BE HONEST I RAISED MY BAR walau nicheze level zake. I tried so hard to fit in her world. Kama kawaida yangu nikatuma picha, nashukuru Mungu sura na kimo haku ninyima. Basi tukawa tunaongea ongea, baadae i broke the ice wall between us tukaanza kuwa honest with each other, nae akanitumia picha. Sasa picha yuko Italy!

Mmmmmh! Ndo kumuuliza Italy umeenda likizo, akanijibu No, me naishi huku mdaaa! Akili zikanichaji fastaaaaaa, nikaona it is another time to raise my bar ama sivo nitamkosa huyu mtoto. Nikatia na mimi niko U.S, Wichita. Najua possibility ya mbongo kuwepo Wichita sio kubwa. Akaniambia oooh! Nilikuwa nawaza ku relocate na nini, i am consideing U.S. Mie tenaaa. Namwambia karibu unaweza kucrush hapa untill uwe on your feet ndo utahama. Akadataaaaaaaa! We became really close.

Ukisikia bahati ya mtende ndio iliotokea demu akawa anakuja Bongo, umeonaaa, akaniambia, I raised the bar again, nikamwambia na mimi nitakuja Bongo just for you, tuonane and spend some quality time. Akafurahiii kishenziii. Uzuri haa mademu wa nje washazoea kijigharamia, she checked in Holiday In pale, nikatoka zangu Wichita ya Mbezi na Altezza kwenda holiday inn kula mambo. Mnashangaa nini sasa. It was of the best pu.ssy i have ever tasted in here. Tukakaa siku tatu. Then akawa anaenda kwao, nikataka kumpa $1000 kuchangia tu gharama aka kataaa kata kata.Hakuchukua hata kumi. I guess i will be specializing in box pu.ssy it is cheap and of superb quality.:lol:. Baadae nikamwambia bwana eeeh imenibidi kurudi Wichita ghaflaa so have a nice stay in Bongo. Akasikitikaaa. Basi yeye alikuw anakaa mwenzi mzima.

Tunawasiliana kwa whatsup kwenye namba nime mblock. Siku hio sina hili wala lile niko high spirit lounge nagida maji na washkaji nikasikia naguswa bega. Kugeukaa Mbeba boxi huyu hapaaa! Tobabaaaaaa!Mchan huo huo nilijifnya niko Wichita. Maneno yaliniisha. Nae hakusma kitu akaondoka kasi uzuri kafanya seen a plus to box pu.ssy! Washkaji wako mfate demu yule, atagongwa na gari, we mshkaji chengaa. Nikawaambia komeniiiiii, acheni kuwa lege lege she will be fine. Tuendelee kunywa.

Kiukweli nilivutiwa nae mnoo, mara kibao nilijaribu kuandika appology lakini kina apology naiona lame, nilijaribu ku come clean several times, lakini i saw it was lame and pointless she wasnt comming back. Nikakaaa tu. Wiki 2 zikaisha kimya kimya, siku hio kama Mungu nikaona Hi! Toka kwake. Mmmmh! Nikajibu tu I am Sorry! Basi ikaja risala ya kufa mtu. You are a bastard, insensitive, cold, senseless, cock sucker, et l not worth my love and attention, but you stole my heart, after everything i still have feeling for you! I hate you, i hate you! Mmmmh! Nikasema another time to raise the bar again!

Nikamwambia sorry i lied, lakini this insensitive cock sucking bastard still wants you back badly! If there is any chance, any chance at all njoo home, maeneo flani, ulizia semehemu flani, geti la 3. I will be waiting. Siku hio nimekaa siku nzima,hakuja wala nini. Nikaona basi tenaaa! Siku 3 hajaja bila bila.

Siku ya 4 sina hili wala lile natoka kazini namkuta ka kaa kwenye ngazi nje kwangu ananingoja. Mmmmh! Nikasema hapa kimbembe, nikaanza kumpiga biti House boy kwanini humkaribishi mama mweny nyumba ndani? Hahahaaa! Kujikosha tu, akasema nimemkaribisha kasema nje kuna upepo. Akili inanienda race nalizima vipi hili sooo.

Najisemesha nyumbani hawajambo, huku tunaingia sebuleni, aka kaa nikapitiliza chumbani kwangu, nikamuita njoo huku mara moja, akawa anagoma, nikamwambia njoo nikuoneshe kitu. Akaja nafikiri hata fo her things were going too fast! Kuchungulia nikamdaka a mibusu tuka angukia kitandani, mengine mtuachie baba na mama. Badae msamaha naomba mikono io sehmu husika nitakataliwa? Ndo nikamwambia ukweli wooote hadi hii biashara yangu ya ukaguzi kaguzi. Nikamwambia kusema kweli pale kwake nimefika mwishooo. Ukaguzi nawaachia wenyewe.

Mmmmh akanisamehe lakini sababu hana imani na mimi ndo kanifosi KUANDIKA HII AUTOBIOGRAPHY kwa anachoamini kuwa IT WILL BURN ALL THE BRIDGES NA ACCOMPLICE WANGU WOTE WA MMU! Baada ya hili gazeti sidhani kama ambae atajibu whats up yangu not that i intend to whatsup them. Just in case. Mimi nimetulia sahivi miezi kibao na mbeba box, asharudi Italy na we are expecting a babby together. Mambo yakienda vizuri naweka ndani kabisaaa, anarudi home hapa tunatunza familia.

NAOMBENI NYOOTE MNISAMEHE, I WAS JUST A CLUELESS BOSS WITH EVIL INTENTIONS, SAHIVI I AM A MAN AND I AM NOT PROUD OF WHAT I DID.

I HAVE OWNED MY MISTAKES AND I AM ASKING YOU TO FORGIVE ME!!!!!!!!!!! MAISHA SAFARI NDEFU, AND ALL THE MEDIOCRE WAS NEVER WORTH IT, NOT ONE TINY BIT!

MUOMBE NIOE SALAMA, IF SHE BREAKS MY HEART I WILL SWEEP THIS MMU , NO STONE WILL BE LEFT UNTOUCHED.

I AM NOT WHO YOU THINK I AM, BECAUSE I AM A ONE MANS SHOW, ONE MANS ARMY, THE ONE AND ONLY SILENT KILLER TURNED TO BEST BABY DADY THERE IS. :noidea:

************************************THE END******************************************************


Sasa Does the MMU LADY COLLECTOR OF ORGASMS GET HER AUTOBIOGRAPHY OR NOT?

Weraweraaaaaaaaaa ODM is damn fucken clean........ Igweeeeeee!

Ukaguzi na uendelee kwa amani.

Apologise lady kam zis wei tumalizie tulipoishia
 
Last edited by a moderator:
Kudadaddeki, Asprin hazbendi unaona sasa umeponza vijana????



lara 1 leta huo ubuyu mwengine mate ya kumung'unya yapo
Hahahahah lucky me.... haka ka sailent tombanamo hakajagusa mmoja wa wake zangu. Ningekabadili jinsia afu kojoleo nalihamishia usoni. Hapana mtu kuchezea muke za ODM akasalimika....
 
Last edited by a moderator:
oh! basi nimeingia chaka. Huko kwenye ualimu wala sikuwepo maana najua tabia hazina elimu wala fani/taaluma. Mie tatizo langu lilikuwa pale ulipowapa hongera wanaume wanaowagegeda wadada wasiojielewa.

Nimependa maneno yako hapo:*-tabia haina tabaka, yeyote aweza kuwa na tabia inayowapendeza wengi ama ichukizao wengi. Ukiishi cku zote ujue kero ama namna yoyote ya ukwasi ni mchakato kuelekea ukamilifu. Kila tamu na chungu. Ukipata tamuu....furahia mafanikio ila usisahau kuwa na chungu zpo.:*-*-*na ukipata chungu...sema hizi ni changamoto kukufikisha kweny ukamilifu.

Nampenda sana mwalimu, ikiwezekana nimpate, niwe naye maishani(nimuoe). Mazingira ya mwalimu yana utulivu na ubize usio na makuu. Walimu vicheche wenye mtizamo wa kushine kwa mtaji wa pu.-ssy wapo, ila si wengi kivile...na wakiwepo wanaonekana haraka bila hata ya kutumia kurunzi. Teachers! Most of them are good wives. WALE WAKWARE TUTAENDELEA KUONANA. I Luv teacher kwa kweli, if i got one...sina tena sababu ya kupepesa macho na kuzungusha shingo kama feni...toward bitchz.
 
Nimependa maneno yako hapo:*-tabia haina tabaka, yeyote aweza kuwa na tabia inayowapendeza wengi ama ichukizao wengi. Ukiishi cku zote ujue kero ama namna yoyote ya ukwasi ni mchakato kuelekea ukamilifu. Kila tamu na chungu. Ukipata tamuu....furahia mafanikio ila usisahau kuwa na chungu zpo.:*-*-*na ukipata chungu...sema hizi ni changamoto kukufikisha kweny ukamilifu.

Nampenda sana mwalimu, ikiwezekana nimpate, niwe naye maishani(nimuoe). Mazingira ya mwalimu yana utulivu na ubize usio na makuu. Walimu vicheche wenye mtizamo wa kushine kwa mtaji wa pu.-ssy wapo, ila si wengi kivile...na wakiwepo wanaonekana haraka bila hata ya kutumia kurunzi. Teachers! Most of them are good wives. WALE WAKWARE TUTAENDELEA KUONANA. I Luv teacher kwa kweli, if i got one...sina tena sababu ya kupepesa macho na kuzungusha shingo kama feni...toward bitchz.


santeeeeeeeee

walimu wenzangu mpooo
mana humu tunapondwaga hatariii

haya fursa hizi kumbe zipo
 
Nimependa maneno yako hapo:*-tabia haina tabaka, yeyote aweza kuwa na tabia inayowapendeza wengi ama ichukizao wengi. Ukiishi cku zote ujue kero ama namna yoyote ya ukwasi ni mchakato kuelekea ukamilifu. Kila tamu na chungu. Ukipata tamuu....furahia mafanikio ila usisahau kuwa na chungu zpo.:*-*-*na ukipata chungu...sema hizi ni changamoto kukufikisha kweny ukamilifu.

Nampenda sana mwalimu, ikiwezekana nimpate, niwe naye maishani(nimuoe). Mazingira ya mwalimu yana utulivu na ubize usio na makuu. Walimu vicheche wenye mtizamo wa kushine kwa mtaji wa pu.-ssy wapo, ila si wengi kivile...na wakiwepo wanaonekana haraka bila hata ya kutumia kurunzi. Teachers! Most of them are good wives. WALE WAKWARE TUTAENDELEA KUONANA. I Luv teacher kwa kweli, if i got one...sina tena sababu ya kupepesa macho na kuzungusha shingo kama feni...toward bitchz.

hata sikuelewi. naona unajichanganya tu. umeunga hoja yangu mkono kuwa tabia haina elimu wala taaluma halafu mwishoni unasema unapenda waalimu kwa sababu wachache ndo wanatumia papuchi kama mtaji......sijui nini. Hata taaluma zingine hali iko hivi hivi ukiacha labda ile taaluma ya kusevu kwenye mabaa kunakuwa na changamoto na vishawshi na unyanyasaji mwingi. Hayo mambo mengine yanayoambatana na taaluma naweza kukuelewa kwa mfano ulivyosema mazingira yao yana utulivu hawako busy ukilinganisha sijui na taaluma ipi labda. Kama ni mwalimu wa chekechea anafundisha watoto 20, watoto wanatoka saa 6 na yeye anatoka saa 8, kweli huyo hawezi kuwa busy. Lakini mwalimu wa chuo mwenye wanafunzi 300-1000, ukute na ni mkuu sijui wa idara...huyu ataondoka asubuhi na kurudi usiku tena atarudi na furushi la makaratasi na laptop kuja kufanyia kazi nyumbani. Kwa hiyo tafakari kwa mapana kaka.
 
Back
Top Bottom