Nyie acheni tu.Hadi sasa hivi sijanywa hata chai najaribu hata kujenga picha ya wahusika nashindwa!
Yote hii sababu nilichelewa kujiunga humu JF aiseee.
Mlioko kwenye list mnajitokeza mmoja baada ya mwingine:juggle::juggle::juggle::juggle::eyebrows::eyebrows::eyebrows:
angesingizia uchawiHahahaaaa!! Basi mama yaishe, ila we noma duuuuh kumkimbiza mtoto wa watu na shanga yake kiunoni!!! Na bahati hajaoa cjui angesemaje kwa mkewe
Mbona kila page lazima nione comment ya Miss Chaga?!! Kama anazuga na kujistukia fulani, hahahaaaaa no hard feeling miss chaga.
Kumbe MMU ni kama ule mtandao wa Badoo tu.
ha ha ha ha najishtukia wakati nimejisema ni mimi nimekimbiza mtu na shanga ... babu wee sijishtukii mi nawasaidia tu kuwapambanua ili ili msipoteze muda kumska muhalifu wakati nipoMbona kila page lazima nione comment ya Miss Chaga?!! Kama anazuga na kujistukia fulani, hahahaaaaa no hard feeling miss chaga.
Kumbe MMU ni kama ule mtandao wa Badoo tu.
angesingizia uchawi
Babu acha tu,hapa bp iko juu lols
ha ha hahaha nimeshaambiwa najishtukiaUpo kwenye huu mtandao nini Vale??
Ila miss chagga hawezi kukosa....maana anaappear kuwa ni kati ya wale pesa mbele....
alalfu kama mlokole unamwambia ombea akiwa amefunga macho unamwambia imekatika yenyewe kumbe umekataHahahaaaaa!! Huo uchawi balaa
Upo kwenye huu mtandao nini Vale??
Ila miss chagga hawezi kukosa....maana anaappear kuwa ni kati ya wale pesa mbele....
kamili sasa nikae mako wa kupata ubuyuKama sipo atakua kanisahau tu aise...bado dk3 Lara aendelee. Ngoja ninywe glukos ntarudi
ha ha hahaha nimeshaambiwa najishtukia
ndiyo maana hata salamu hutoi?Mimi mwenyewe ushanitishaga vya kutosha honestly...
kamili sasa nikae mako wa kupata ubuyu
ndiyo maana hata salamu hutoi?
Nasubiri nione unayefanana naye, kuchelewa kujiunga sio sababu maana story inaendelea ujue! Unaweza kuta nyingine ni ya juzi
My dear friend,hakuna anayenijua JF hii zaidi ya my Mdakuzi! Huyu pekee ndiye anayenijua in and out!
Kwahiyo hapa niko kutafuta umbea tu maana kama ni viunzi nishaviruka sana huko PM!