The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

Nyie acheni tu.Hadi sasa hivi sijanywa hata chai najaribu hata kujenga picha ya wahusika nashindwa!
Yote hii sababu nilichelewa kujiunga humu JF aiseee.

Nasubiri nione unayefanana naye, kuchelewa kujiunga sio sababu maana story inaendelea ujue! Unaweza kuta nyingine ni ya juzi
 
Mbona kila page lazima nione comment ya Miss Chaga?!! Kama anazuga na kujistukia fulani, hahahaaaaa no hard feeling miss chaga.

Kumbe MMU ni kama ule mtandao wa Badoo tu.

chezea miss chagga wewe! Alimtoa mtu ndukiiii na shanga kiunoni
 
Last edited by a moderator:
Mbona kila page lazima nione comment ya Miss Chaga?!! Kama anazuga na kujistukia fulani, hahahaaaaa no hard feeling miss chaga.

Kumbe MMU ni kama ule mtandao wa Badoo tu.
ha ha ha ha najishtukia wakati nimejisema ni mimi nimekimbiza mtu na shanga ... babu wee sijishtukii mi nawasaidia tu kuwapambanua ili ili msipoteze muda kumska muhalifu wakati nipo
 
Nasubiri nione unayefanana naye, kuchelewa kujiunga sio sababu maana story inaendelea ujue! Unaweza kuta nyingine ni ya juzi

My dear friend,hakuna anayenijua JF hii zaidi ya my Mdakuzi! Huyu pekee ndiye anayenijua in and out!
Kwahiyo hapa niko kutafuta umbea tu maana kama ni viunzi nishaviruka sana huko PM!
 
Last edited by a moderator:
My dear friend,hakuna anayenijua JF hii zaidi ya my Mdakuzi! Huyu pekee ndiye anayenijua in and out!
Kwahiyo hapa niko kutafuta umbea tu maana kama ni viunzi nishaviruka sana huko PM!

Embu funguka zaidi haswa hapo kwenye PM. Kwi kwi kwi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom