AUTO BIOGRAPHY CONTINUES!
Kipindi hiko we msheni ulikuwa unamshobokea Vindiesel kinomaaa, nikahisi lazima kakupiga miti si buree, lakini nikasema haina makobo lazima nionje na kukufunga kidomo domo hiko! Basi nika ku pm naomba namba yako ukagomaa, uzuri mi nilikusoma kitambo we demu njaa tu, unapenda pesaa mnoo, nikamwambia nipe namba niku vocha, ulivokuw bwe.ge ukatuma hapo hapo! Bishaaaa? Nikasema hii hii nmba nakutongozea, nikakurusha ile vocha, nikarusha tena mara 3. Then nikawa naimbisha tuonne, tuonane ukakataaa, madai unaonana na watu walioenda MMU parties tu, kina Vin D, manina zako. Ukagomaaa kabisa kama nataka kukuona nije kwanza MMU party unione then ndo unipe another date. Nikasema No sweat nagojea MMU party inayofata, nitakuja na nitakuon na kukupiga miti vile vile.
Sasa MMU party ilikuwa november on the mean time ikabidi niwe na project! Nikamchukua mke wa mtu. Nikamuanza PM kama sijui ni nini ama nene. Huyu si mchoyo wa namba kama kawaida, sikutaka kumfuga sanaa. Tukaonana. Basi hakusema kama kaolewa, na kiukweli ni mzuri japo cha mtu mavi nikaona nitanawa tu mikono. Siku ya kwanza tukanywa tu, nikampa 50k ya nauli. Alichat usiku kucha sijui mumewe alikuwa wapi. Next appointment sikutaka kuremba nikamwambia atangulie Grandvilla knyama nakumbuka nililipia $80 mke wa mtu bwna inabidi umle kwenye ulinzi. She is very sweet, japo ana njaa lakini ana kauli nzuri naanajua mwanaume ni nini! Nikaja nikamkuta na khanga moko yuko tayari kwa mechi ya kikubwaa. Nilimlaaa kwa uchungu, ugwadu, hasira, huruma changanya vyote. Alilala fofo foooo! Asubuhi nikadamka kabla yake na sikuacha nauli wala nini. Nikaishiaaaa. Basi akawa ana ni PM why nimfanyia vile, sijui nini, nikamwambia we mbona una mume hukusema? Akawa mdogo, i am sure she still hates me.
Basi nikiwa bado sijasamehe wala kusahau kuna demu mmoja msawahili kinomaa humu ndani. Nikaona nibadilishe ladha, manake nae ana kauli chafu chafu za kiswahili, na ana chamba sanaa, kujitia ujuaji mwingi. Nikaingia mawindoni. Gia yangu ile ile nipe namba nikurushie MPESA.Nikachukua namba nikaanza kumchagizaa, ila nilirusha 20,000. Akajitia mi sitaki mechi za kitoto, nataka mwanaume anayejua mambo! kama mambo hujajui basiii! Mmmmh! Ndo akanizidisha minyege! Akawa kanirushia picha na nini, kiukweli mashallah na mineno yake ile nikasema lazima nimlambe ukijumuisha na mashtaka ya nyuma dhidi yake, no way no day nitamuacha. Nikajitutumua mimi mambo nayaweza, na nini! Na akaniambia wazi kabisa HAKOPESHI, Mkaja wa papuchi sh 50,000 ela ya wembe, pafyumu, nguo, kila kitu. Bila hio papuchi haifunguliwi. Hahahahaaaaaaaaa! Waswahili wana raha yao mjue. Nikamtumia kabla. Nikamwambia chagua sehemu. Akasema njoo kwangu nimepanga. Nikaona okay good. Nikaenda na furushi la nyama, mchele, siji nini, ki alteza kilijaa. Bwana weeeeee! Najuuuuuuuta! Kamasi zilinitokaaa! Manake mabafu ya kushea kaenda kuoga yeye kaniambia kaoge. Nikajikaza nikaoga nikarudi kumkuta mtupuuuuuuu kajimwaga kitandani, kavaa shanga zaidi 25. Shanga moja iko pembeni. Hiiiiiiiii! Nikajua labda ataizaaa! Nasikiaga mambo ya visosa nikakion chini na kitambaa, tobaaa, chetezo la udi keshajifukizaa chumba lote udi. Huwaga nina pumu ila siku hio iliponaa! Network ikakataaa, nikaanza kuogopa sasa, maji yamenizidi nguvu. Ile shanga iliokuwa pembeni akataka kunivisha! Nilirukaaaaa! Hahahaaaaaaa! Akanihadaa haaa pale, jaribu tu, haina shida, utaenjoy nakwambia, hii moja tu. Ananibembeleza hivo mara ainame mara anigeuzie wezele, nikasema mmmh, shanga haingati bwanaa nikakubali akanivisha. Kisosa kikavutwa, nasikiaga tu visosa visosa, kikaanza kazi. Yaani dada anashika MIC sijawahi kuonaaaaa! Alimeza mzigo woooote hakuruhus hata mzungu mmoja adongoke chini. Niliishiwa nguvu. Kwenye majambozi katika fore play nikashangaa nanyonywa Tigo:shocked::shocked::shocked::shocked:!Nikasema leo shanga nimevishwa kiunoni, tigo inayonywa, hapa naliwa samvu la kopo ananiandaa tu, akimaliza mlango unagongwa kazi kwishaaa!:lol:! Tumbolikaanza kunkataa ghafla! Stimu zote zikakatika. Nikaishiwa nguvu kabisaa. Akastukaa nikamwambia naumwa, akasema ngoja nikakuombee dawa kwa jirani. Alivotoka nilipata ujasiri wa ghafla nilivaa, nikachukua funguo za gari motooo, kigeti chao usawa wa mbuzi nilikiruka acha tu, suruali ilinasa nikaichana. Alisikia tu altezaa imekanyaga mafuta. Duuuuuuuuuu! Niliponea chupuchupu. Kesho ndo kunilaumu mbona umenikimbia, niliku overdose eeh, njoo tena nita down size:lol:. Weeeeeeeee! Nimekomaaaaaa! Ila demu bado mchizi wangu mpaka navoandika hii autobiogrphy sasa sijui akisoma itakuwaje.:lol: Nikataka kustaafu na kuwasamehe wote lakini hapana, kuchanika kwa jamvi sio mwisho wa maongezi. Nikaamua sahivi nachukua watoto Classic tu.:eyebrows: