miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
nawza kuwepo labda kwenye shanga ha ha hahaHadi sasa sijauona sehemu ambayo naweza kukuweka katika hao aliokutana nao...ntakuita nikikuona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nawza kuwepo labda kwenye shanga ha ha hahaHadi sasa sijauona sehemu ambayo naweza kukuweka katika hao aliokutana nao...ntakuita nikikuona
ha ha haha naendelea
anitaje tu amna tatizoMbona naona kama ushatajwa, au malienge yangu?
nawza kuwepo labda kwenye shanga ha ha haha
Duh!!! hii ni zaidi ya autobiography...
Ni kama mwanajeshi anaunguza ramani baada ya kutekwa na KGB hivi...
Mbona kama umepanic ndo...we ndo no.1 nini
ha ha haha naendelea
nimeishi tanga tokea nikiwa na miaka 9Ila kweli..mbaya sana ww..hayo mambo uchagani hakuna we sijui umeyatoa wapi
Kyenju mambo yangu hayo ujueHuyu wa shanga kanichekesha sana, mpaka jamaa aliamua kukimbia asiliwe tiGo.
we subiri utajua ... alisepa nayoKumbe kuna unyan'gau sana humu eehh. Duu ila jamaa muoga, alikumbuka kuvua shanga za watu kweli au alisepa nazo..
hata mrushe mabomu huku mi sitoki
Baada ya hapo wawindaji wengine watakosa vitoweo
huko nitapita kesho mkuuu ,.. nasema kwa tu mkuu wala si weweMbona unanisingizia mrembo? Karibu BIGINO ENTERPRISES.
Hahahahaaaaaaaa! It is interesting believe me! Some issues nime conte check they true! Ila i dont know! Could be true, could be a lie. But it was worth writing, it shook me indeed!
Kumbe kuna unyan'gau sana humu eehh. Duu ila jamaa muoga, alikumbuka kuvua shanga za watu kweli au alisepa nazo..