The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

THE AUTOBIOGRAPHY CONTINUES!!!!!!!!!!

Ile list yangu sasa ikawa imeanza kunitshaaaa, manake kuna mi cyborg ya hatari, last time was close, nikaona sasa niwe nafanya background check, ule ushanga mmoja mpaka leo ninao kwangu huku ukumbusho! Basi nikajua background check nitaipata kwa MABAZAZI, manake wale ndo wanajua watoto wote wakali humu ndani, nani kaliwa sanaa, nani hajaliwa, wanajua. Nikaanza nao urafiki, kama mjuavyo wanaume urafiki huhitaji kutuma barua ya maombi. Basi katika jamvini kuna new fish on the river. Nakiri huyu hakuwepo kwenye mashtaka yangu ya nyuma, lakini mimi ni mwanaume kamili, sio joka lakibisa, nilivoona kila mtu anamtaka niksema atakuwa wa haja, ngoja niunge trella. Basi kalikuwa kanajidai nin degree sijui nini. Nikasema hapa hapa. Sasa akawa kamtumia picha bazazi moja hivi, likawa linanidolishia nikaiona whatsup nikashika namba. Tulivoachana nika mtext. Kiukweli ka cute si uongo, afu kateke teka bado, just the way i like them. Nikamwambia mimi mwana JF basi ndokuhoboka, nani, niambie nani? Nikaona kanapenda mastaa! Nikasema nikataka kumwambia mi The Boss, lakini nikajikuta tu nasema mimi Watu 8, the imposturee. Basi kipindi hiko Lara 1 anamsifia watu 8 hatariiii. Basi ananiuliza so kweli you are hot kama wanavosema kina Lara, those girls lazima wakutaje, haiishi siku. Namwambia why dont you find out for yourself?. Basi kakapagawaaa! Alivompanaa akaenda kuwauliza watu walioenda party huyu watu 8 yukoje? Akapata positive review, nitumie pichaa, nikamtumia yangu, akadataaa. Nacho shukuru Mungu ni watu 8 kafunga PM so there is no way ange m PM na kujua mimi ni imposture. Basi nikakatoa out, kamelgeaaa, nikasema hii hailali wala simpeleki home, nachukua room hapa hapa. Tumekunywa nikamwambia tuamie chumbani, akakubali, kazi ikaisha. Sema mambo hakajui wala nini masharti kibaoo, sishiki MIC, sijui nini. Aaaarggh! Kesho kani text Bae! WTF! Nikakaptezea mdogo mdogo. Nikamuuliza yule mchizi ile kazi ushaifanya? Yani kashamla yule demu? Mchizi akajibu kwa masikitiko kaniambia hawezi kukutuna coz yuko comitted na watu8 they are dating in a serious relationship! Hahahahaaaaaaaa! :lol::lol::lol::lol::lol:! Nikasema watu8 eeeeh? Wachaaaaa! huyu watu8 mshenzi kweliii, kakuzibia rizki! Akasema ndo hivoo. Watu 8 nisamehe kwa yote, na bi dada it wasnt wasnt the real watu8 it was me the silent killer, the imposture! Ila kiukweli haikuwa uungwana kufunga goli kwa mkono kama Pele.:lol:

INAENDELEA BAADAE! NAENDA LUNCH KWANZAAA, LOOOH! Japo nimelipwa lakini si kihiviiii. Tukutane Saaa 9 KWA MUENDELEZO.
Ahsante sana lara 1 kwa kunipa hii janjajanja..... Watu8 amsore mpwa... kuna kabinti itabidi nikatafune kwa kutumia ID yako. Endelea hivyohivyo kufunga PM yako ili lisije likagangaburuka.

Na hivi laramoko kashaniita mi ni lijendi wa MMU, naweza kusafira nyota yako au ya umaarufu wangu kukatafuna haka kabinti. Eshy m.s be prepared.... am cummmmming beibeeeeee.....
 
Last edited by a moderator:
Hahah...kweli mjini chuo kikuu...kijijini chekechea...no hard feelings though!!!

HAHAHAHAAAAAAAAAAAA! Ndo hio bwana kijana ALISAFIRIA LIFT YA NYOTA YAKO! Mjini hapaaaaa! Ukisusa wewe wenzio wnakula kwa jina lako!:lol:. Unafikiri angetumia new ID angepata chiu wa promotion?????????:biggrin:! It was jsut one time, it is not like it killed you or something!!!!!!! Mbinu zinakubalika vitani.
 
Sasa mpwa mbona unakashtua...teh teh!!!

Ahsante sana lara 1 kwa kunipa hii janjajanja..... Watu8 amsore mpwa... kuna kabinti itabidi nikatafune kwa kutumia ID yako. Endelea hivyohivyo kufunga PM yako ili lisije likagangaburuka.

Na hivi laramoko kashaniita mi ni lijendi wa MMU, naweza kusafira nyota yako au ya umaarufu wangu kukatafuna haka kabinti. Eshy m.s be prepared.... am cummmmming beibeeeeee.....
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaaaaaaaa! Acheni fujo! miss chagga tunapanda gari moja kwenda Moshi, siwezi kumtaja, CUT HER SOME SLACK SHE IS SMART INDEED!

Mmmmh!! Mbona wamtetea sn au ndio waarabu wa pemba?? Ila haya mambo hayajui huyu, uwiii cmpatii picha miss chagga katandaza shanga, khaaa hv anazijua kwanza huyu!!!
 
Last edited by a moderator:
Basi wewe na Watu8 hamjui SMAKAI SASA NDO WATAPATA CONFIDENCE KUWA HUMU NDANI MAMBO KUPEANA TUUUUU! Wasiwasi unatwatoka wote. Huwajui wasichana wewe, kivumacho ndo wakifanyacho!

Hao ndo mapapa wenyewe. Wanapambana na wavuvi
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Mshenzi wewe umenicheksha mpaka mkojo umgonga chupi! Shwaini kweli.

Hahahaa dada noma sana, trela tuu jamaa kafungua turbo na shanga kiunoni, picha lingeanza sijui ingekuaje. Ila lara hauoni kama huyo dada ni mjasiria mali haumtendei haki kwa kutoweka walau hata initiatial tuu ya kwanza. Kwi kwi kwi..
 
Last edited by a moderator:
Mbona kila page lazima nione comment ya Miss Chaga?!! Kama anazuga na kujistukia fulani, hahahaaaaa no hard feeling miss chaga.

Kumbe MMU ni kama ule mtandao wa Badoo tu.
 
Back
Top Bottom