Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Hamna bhana hofu yako tu hizo
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamani ntajieniiii!!
THE AUTOBIOGRAPHY CONTINUES!!!!!!!!!!!!
Baada ya kumla yule dogo dogo kwa ID ya Watu8 nikamuona mschana kitaa, lakini ikawa hanipi mshawasha ipasavyo. Kiukweli nikawa namuona kama stranger. Nikagundua i am addicted to JF chicks maana kupitia maandishi ya everday nakuwa nawajua in and out. Sasa demu wa kitaa nakuwa kama simjui kabisaa na kumchunguza naona tabu. Ila nikagundu niendako si kuzuri. It is when i decided i needed help! Concealing sababu it is not a normal behavior. Nikaamua kumconsult dada mmoja humu mtu wa heshima na kuaminika. Niliamua kumchukua an older matured woman sababu nikajua sitomla. Basi kweli yule dada humu akawa ana ni counsel na nini. Sikumwambia lakini what i have done at all, LIKE KUMUONESHA WHERE I BURIED ALL THE DEAD BODIES. Basi yule dada akadai tuonane anicounsel vizuri.Aapropose lunch. Mi nikaenda. Kiukweli ni dada wa makamo lakini mcute cute flani hivi mnagable for human consumption. Basi akanishauri uongo na kweli, nikamwambia narudi kazini. Jioni akanitext tukutane tenaaa, nimpitie ofisini kwake. Nikasema mmmmmh! Anyway ngoja niende nikampitia tukaenda kunywa. Saa 5 haoneshi dalili za kuondoka. Saa 7, nikammwambia twende nikupeleke kwako mi nikaulaze. Akakubali, nimedrive mpaka kwake hapa hapa mjini kati, ile anataka kushuka akanidaka na denda la nguvu. Kama nilivosema mi mwanaume rijali sio mngese wala joka la kibisa, nika respond. Mambo yakakolea, nikamuuliza tuingie ndani kwako au? Akasema nooo nina watoto wakubwa siingizi wanaume ndani, tumalizane hapa hapa. Nikala mzigo COUGAR kama kawaida. Ila baadae nilijisikia vibaya sana kwa kukosa ustahimilivu. Tatizo cougar akataka kunimiliki na kunifanya baby daddy kula mzigo mara moja tu!!!! Looooh! Nexttime tumekuta akanikomalia nimsindikize mlimani city, kachukua mavitu kibaoo ya kutumia ndani mwezi mzimaaa, afu mda wa kulipa, akajifanya kasahu nini sijui kaniachia torolli kwenye folleni. Bill ikaja 400,000/= MF! Nikatoa kadi akachaji kwenye kadi. Basi katoka anajichekesha hatari, nikafosiwa tupitie lodge nikapewe mzigo nikagomaaa kabisaaa. Baada ya hapo nikamchinjia baharini, mwenyewe sina mtoto sababu sitaki, kulea cougar sio issue. Nikamchiinjia baharini.
Kukawa na binti mlokole anavuma sanaa humu.
INAENDELEA!
Gadem.... huyu mdada nimeshamjua. Hakyamama nina kipaji kama Alshaabab.
Gadem.... huyu mdada nimeshamjua. Hakyamama nina kipaji kama Alshaabab.
shikamoo babu
Hahahaa babu bhana.
hii shkamoo najua ni ya kutafutia umbea. Ukinifuata pm naweka mambo hadharani.....
Hebu nikumbushe ID yako ya zamani..... lol
Ni hi hii babu ODM ila nilifanya matengenezo kidogo tuu kwa sababu mbali mbali lkn hii sio mojawapo.
Hii ID sina kumbukumbu kama ilishaingia kwenye list ya wajukuu zangu niliowakagua.....
Hebu twende PM tukapange mikakati ya ukaguzi
Hahahaa poa babu.
Hahahaa poa babu.