The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

Mambo mengine watu wanayakuza tu.
Hapo ukimuuliza kama ameexperience tabia za hivyo mara ngapi kutoka kwa proffesions zingine utasikia oooh nimeshuhudia yamemkuta flani, sijui ndugu yangu, mara mjomba khaaaa watupisheeeeeee!

Ikibidi waanze kusomesha watoto zao ualimu ili watengeneze kizazi cha wake bora!

Hivi kumsema mume mbele ya watoto nako kunatokana na taaluma ya mtu kweli? Duhhhh ngachoka mie watu wanavyotishana aiseee!

tatizo watu wana mentality zao walizojazana sasa wanazihalalisha kuwa ndio maisha yalivyo bwana, tabia ni ya mtu mmoja mmoja trust me wananaowakimbilia ni wale wakware wanaohisigi kuibiwa tuuu km waibavyo wao, maana wanajua wale kuwabana ni rahisi
 
Si jamaa aliwapiga kimya kimya kwani alikuwa anatangaza.Alichokifanya ni kama confession tu

ukifuatilia vzr utagundua haikuwa kimya kimya, maana walikuwa wanashare tena wanakaa na wapuuzi wenzie wanaambizana yule tayari yule hivi nk, sasa hapo unatetea nn? n this ni behaviour ya boys wengi, men wachache hawako hivyo.
 
Lala1 miss you ....my team no free p......nmekosa mambo mazuri loh ubizy mbaya sana
 
Last edited by a moderator:
lara 1 tuletee na huyo mdada tuisome tuu, Ila hapa nimejifunza kitu kuwa humu MMU mnakulana sana na ni kama kawaida tu, Which is not good at all. Most people in here have their families and I think they should respect it. Pia kama hii ni kweli that means hatari ya kupata magonjwa kama UKIMWI inakua ni kubwa zaidi sababu yaonesha watu wanakula kiulaini na kizembe sana mostly women kisa pesa. Mi sijamuhisi mtu kuwa SILLENT KILLER kwa maana I always try to stay out of other people`s bussiness, ( minding my own bussiness)
 
Last edited by a moderator:
lara 1 umeleta balaa, maana PM ziko muted kisa isijekuwa ni Silent Killer. Hebu fanya ku-reverse hii kitu na ku-format kumbukumbu zote.
 
Last edited by a moderator:
Naunga hadi phd ....ntazeekea shule....miss you jaman sikuiz. Kukiwa na ubuyu hatuitani???

We si najua uko busyyyy, basi nakuacha nicje kukuchanganya, alafu ww nakujua no free p sasa hapa walikuwa wanaongelewa free p ils nashangaa jamaa aligharamika ss cjui free p maanaye nn?
 
hahhahah aiseeeee hiii ni kareee ya mwaka,nmejikuta nimerudi JF,..
ila jmn sijaona story ya binti mlokole iko pg no ngapi?au pia mtu akiipaste hapa that part itakua powaA zaidi,cc lara 1 geniveros nifah Asprin et al,
heheheh JF ni zaidi ya tuijuavyo

afu kuna watu hawajakomenti nawahisiiii lol
 
Last edited by a moderator:
Mambo mengine watu wanayakuza tu.
Hapo ukimuuliza kama ameexperience tabia za hivyo mara ngapi kutoka kwa proffesions zingine utasikia oooh nimeshuhudia yamemkuta flani, sijui ndugu yangu, mara mjomba khaaaa watupisheeeeeee!

Ikibidi waanze kusomesha watoto zao ualimu ili watengeneze kizazi cha wake bora!

Hivi kumsema mume mbele ya watoto nako kunatokana na taaluma ya mtu kweli? Duhhhh ngachoka mie watu wanavyotishana aiseee!

Ndio ujue namaanisha nini kwamba shimo la panya halizibwi kwa mkate.... shmbony shafo klemeeeeee...

CC Paloma
 
Last edited by a moderator:
hahhahah aiseeeee hiii ni kareee ya mwaka,nmejikuta nimerudi JF,..
ila jmn sijaona story ya binti mlokole iko pg no ngapi?au pia mtu akiipaste hapa that part itakua powaA zaidi,cc lara 1 geniveros nifah Asprin et al,
heheheh JF ni zaidi ya tuijuavyo

afu kuna watu hawajakomenti nawahisiiii lol

Kabla ya mlokole anza kwanza na ile stori inayokuhusu. lara 1 hebu mtiririshie huyu mchuchu ile segment yake kwenye hii series.... chapchap sana yani......:lol::lol::lol::lol::lol:
 
Last edited by a moderator:
hahhahah aiseeeee hiii ni kareee ya mwaka,nmejikuta nimerudi JF,..
ila jmn sijaona story ya binti mlokole iko pg no ngapi?au pia mtu akiipaste hapa that part itakua powaA zaidi,cc lara 1 geniveros nifah Asprin et al,
heheheh JF ni zaidi ya tuijuavyo

afu kuna watu hawajakomenti nawahisiiii lol

Wange comment mngesema wanajikoshaaaa! Mbona hamna jemalakini?
 
Kabla ya mlokole anza kwanza na ile stori inayokuhusu. lara 1 hebu mtiririshie huyu mchuchu ile segment yake kwenye hii series.... chapchap sana yani......:lol::lol::lol::lol::lol:
hahahahha yaniii chap chaaaaap aiseee,
binti mlokole nae aliingia kingi ahh too funny
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom