The most 10 useless graduate.

The most 10 useless graduate.

Heading yao ni " [SUB][SUP]The 10 Most Useless Graduate Degrees" na sio "The most useless 10 graduates".[/SUP][/SUB][/COLOR][/SIZE]

It stay with the similar meaning, walicho angalia ni pamoja na employment opportunities mtu anazokuwa nazo kulingana na alichosomea.[/QUOTE]

For sure the two are not similar they mean two different things-a useless graduate degree (i.e, the degree qualification) is not the same as a useless graduate (the graduate degree holder).
 
Mkuu nadhani pia exposure inasaidia ingawa pia dhana .mbalimbali huchangia. Mfano
1. "mwanamke yeyote anayefanya kazi hospitalini ni nesi"
2. "mwanaume yeyote anayefanya kazi hospitalini ni daktari"
3. Kila anayevaa koti jeupe katika mazingira ya hospitali ni daktari"

Lovely Tz.
 
It stay with the similar meaning, walicho angalia ni pamoja na employment opportunities mtu anazokuwa nazo kulingana na alichosomea.

For sure the two are not similar they mean two different things-a useless graduate degree (i.e, the degree qualification) is not the same as a useless graduate (the graduate degree holder).[/QUOTE]

Nasema they have similar meaning does not mean the same, the qualility may determine its usenesss, nnaimani ujumbe halisi umefika hasa kwa sisi ambao tayari tumeisha faham ni jukumu letu kuwaongoza wanaotufuatia nyuma,
 
Acha Ujinga Wako Hiyo Namba 6 Nadhani Imekosewa au Waliofanya Utafiti Wake ni Wapumbavu Kuliko Binadamu Wote Duniani. Hivi ni Nani Ambaye Hafuatilii Redio au Runinga au Kununua na Kusoma Magazeti na Machapisho Mbalimbali? Sasa Itakuwaje Ni Useless Wakati Inategemewa na Public Kiujumla? Zingine Zote Ni Mbaya ila Mass Media Ni Very Vital.

hiyo ni kwa mujibu wa utafiti uliofanyika huko.
 
Hiyo pharmacy,pharmaceutical sciences & administration kwa hapa kwetu ni suala la muda tu!watahaha sana mitaani na vyeti kwani wanagraduate wengi sana na serikali haiwahitaji sana kwani hata wakiwa hospitali wanafanya kazi ambazo hata muuguzi anaweza kuzifanya ingawa wao hawawezi kufanya kazi yoyote zaidi ya kugawa dawa kwa mgonjwa!Mambo mengine ni mbwembe tu!Ila kuhusu Mass media inategemea sana competence yako!kama una kipaji na ubunifu utaipenda

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Namfahamu jamaa mmoja anaitwa MBUGA, amemaliza hiyo kozi MUHAS (2004) saivi anafundisha Chemistry shule za sekondari na kutengeneza Learning materials kwa wanafunzi.
 
Namfahamu jamaa mmoja anaitwa MBUGA, amemaliza hiyo kozi MUHAS (2004) saivi anafundisha Chemistry shule za sekondari na kutengeneza Learning materials kwa wanafunzi.
kitu kama haukielewi vizuri ni bora kuuliza ili kuepuka kutapeliwa.wengine walidisko chuo. hebu kamuulize huyo mbuga kama amesajiliwa na baraza la wafamasia.
 
Namfahamu jamaa mmoja anaitwa MBUGA, amemaliza hiyo kozi MUHAS (2004) saivi anafundisha Chemistry shule za sekondari na kutengeneza Learning materials kwa wanafunzi.

hapana tz hatujafikia huko huyu wako lbd hakuitim miaaka mitano....ni badae sana hawa watu kutosha
 
IS can be in this list kwa maana ya kwamba nyingi za it services kama vile automation zinakuwa autsourced kwa makampuni makubwa. Inhouse it teams of a company wanaishia kutoa support services kwa systems zilizonunuliwa kwa it vendors.
 
Hizo findings zina ukweli kiasi flani,ni nzuri ku determine uelekeo wa watoto wetu.Naona watu wamebaki kumwandama mleta mada kama vile ametoa kichwani.Tutafakari tuchukue tahadhari.
 
Ngoja tucompare na useful zilizo ainishwa kwenye sredi nyingine.
 
No research no right to say.some times research differs from one institution to another according to the interests of the particular institution.
 
No research no right to say.some times research differs from one institution to another according to the interests of the particular institution.

Ukisema hivyo unamaanisha kuwa hakuna kitu kinacho itwa utandawazi si ndio.
 
Hiyo pharmacy,pharmaceutical sciences & administration kwa hapa kwetu ni suala la muda tu!watahaha sana mitaani na vyeti kwani wanagraduate wengi sana na serikali haiwahitaji sana kwani hata wakiwa hospitali wanafanya kazi ambazo hata muuguzi anaweza kuzifanya ingawa wao hawawezi kufanya kazi yoyote zaidi ya kugawa dawa kwa mgonjwa!Mambo mengine ni mbwembe tu!Ila kuhusu Mass media inategemea sana competence yako!kama una kipaji na ubunifu utaipenda

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Mkuu we ndio acha mbwembwe kwenye taaluma za watu. Kama unaweza jifunze zaidi kuhusu QUALITY OF TREATMENT. Kijijini kwetu hatujawahi kuwa na hata nesi tangu uhuru; kuna MCHA (Kama unaelewa); na maisha yanaenda. Wananchi ungewauliza wangejibu kama wewe: MD wa kazi gani? Hivi uanajua general doctors huku kwetu deal, kwa wenzetu hawana kazi? Eti wafamasia wanagawa dawa, lets say so (coz kwa idadi yao, sidhani); hujawahi kuona madaktari waki copy na ku paste prescription? Je hii inakufanya usione umuhim wangu kama dk? Hivi ukiondoa mambo ya Surgery etc ni muhudumu gani wa afya ambae hajasoma/anaweza kumtibu mtu magonjwa kama kisukari, TB, Malaria etc ambayo hata treatment procedures zake ni matangazo ya tv nowdays? JE HIYO INAKUFANYA USIONE UMUHIMU WA MADAKTARI? Hivi unagemeaje gonjwa sugu lipatiwe dawa maabara bila pharmaceutical development?
 
hapana tz hatujafikia huko huyu wako lbd hakuitim miaaka mitano....ni badae sana hawa watu kutosha

son of king john2 siku zote watu huangalia wapi panalipa! Wapo pia rafiki zangu walisoma Molecular Biol and Biotech, SUA lakini wameamua kuwa walimu wa science and they earn a lot of money. Na hii ni kwa sababu hela wanayoipata haina makato yoyote na pia their demand is higher. wengine kila mwezi tunakatwa karibu laki 2 na ushee ... yeye anazipokea kama zilivyo!
 
kitu kama haukielewi vizuri ni bora kuuliza ili kuepuka kutapeliwa.wengine walidisko chuo. hebu kamuulize huyo mbuga kama amesajiliwa na baraza la wafamasia.

Red Giant kumaliza kozi ya famasi sio lazima usajiliwe na Baraza la Famasia! Ni kama vile mtu amemaliza jiwe lake la uhandisi hapo Udsm anaweza akapata kazi yoyote inayomuingizia kipato na akaifanya vizuri bila hata kuwa registered kwenye Bodi ya wakandarasi nchini! japo nakubali wapo wajanja wengi tu ambao walidisco chuo lakini wanafundisha.
 
Report from Georgetown centre on education and the workforce examined salary and unemployment data relating to experienced college graduate degree holders. The following are the 10 useless graduates.

10. Human resource and personel development.

9. Criminal justice and fire protection.

8. Commercial art and graphic design.

7. Music.

6. Mass media.

5. Marketing and market research.

4. Chemical engineering.

3. Information systems.

2. Pharmacy pharmaceutical science and administration.

1. Language and drama education.


Kuna raia wanasimamia kucha kuhitaji link ya hii tafiti.
Nnajiuliza hapo juu nmeandika jina la kituo kilicho fanya utafiti, sasa mnashindwa kufuatilia wenyewe? Maana kama huamini inabidi ufuatilie na ukiona sio kweli unatoa hoja ya kupinga.

Ok nmewaletea link hii ingieni mtafute.

http://www.businessinsider.com.au/the-10-most-useless-graduate-degrees-2013-9.

Siungi mkono utafiti Huu at all
 
hakuna utafiti uliokamilika kama unaona kakosea fanya wewe mpya na utumie mapungufu yake kupata utafiti bora si kulialia tu wakuu,we are interlectuals we have to do more than that to show how much our brain works.
 
Back
Top Bottom