The most 10 useless graduate.

The most 10 useless graduate.

Uko sahihi unachosema, ila wameangalia suala la salary and unemployment nadhani baadhi ya programe ni kazi sana kupata kazi na hata kama ukipata mshahara wake ni mdogo, mfano nmekutana na jamaa amesoma engineering aridhi amesota kupata kazi hivi sasa amejishikiza kwenye kufundisha na anasema wenzake walio ajiriwa wanalipwa mshahara mdogo sana kama 400 hivi wakati yeye huko aliko jibanza analipwa zaidi ya hapo.

Hizi degree programe zilizo ainishwa hapo kiukweli zina shida kwenye kupata kazi na hata ukipata unaweza ukawa unapata mshahara mdogo, mfano watu wa mass media sidhani kamaa wana mshahara mzuri kivile zaidi zaidi ni umaarufu tu ndio wanaupata na ukileta maringo wanakuruge.

ni kweli mkuu.ila useless sio neno sahiihi,sitetei sababu nasoma hizo course hapana mi sisomi hizo course
 
Report from Georgetown centre on education and the workforce examined salary and unemployment data relating to experienced college graduate degree holders. The following are the 10 useless graduates.

10. Human resource and personel development.

9. Criminal justice and fire protection.

8. Commercial art and graphic design.

7. Music.

6. Mass media.

5. Marketing and market research.

4. Chemical engineering.

3. Information systems.

2. Pharmacy pharmaceutical science and administration.

1. Language and drama education.

source please
 
Kwa IS ( Information System ) ninakukatalia.
IS sasa ivi inatumika sana katika maswala ya kibiashara pamoja a kupunguza gharama za uendeshaji katika sector mbalimbali kwa ku imlement system mbali mbali. mfano ni e-commence, mobile banking hivi vitu vyote unapo zungumza ujue unazaungumzia IS. Pia ukipata mda jaribu kuangali kitu kinaitwa Walmart utajifunza zaidi kuhusiana na hii IS. Pia hata hizi theory Porter's Five Forces ambazo wanafanya biashara wakubwa wanatumia, wengi wao wanatumia principle za IS. Inshort huwezi zungumzia IT sector pasipo IS.

Pia Chemical Engeneering, hii inafanya kazi kila shemu.. kama Oil industry na kwingineko.

nafikiri mleta mada kuna kitu wawezekana umechanga katika kufikisha ujumbe wako.
 
Kwa IS ( Information System ) ninakukatalia.
IS sasa ivi inatumika sana katika maswala ya kibiashara pamoja a kupunguza gharama za uendeshaji katika sector mbalimbali kwa ku imlement system mbali mbali. mfano ni e-commence, mobile banking hivi vitu vyote unapo zungumza ujue unazaungumzia IS. Pia ukipata mda jaribu kuangali kitu kinaitwa Walmart utajifunza zaidi kuhusiana na hii IS. Pia hata hizi theory Porter's Five Forces ambazo wanafanya biashara wakubwa wanatumia, wengi wao wanatumia principle za IS. Inshort huwezi zungumzia IT sector pasipo IS.

Pia Chemical Engeneering, hii inafanya kazi kila shemu.. kama Oil industry na kwingineko.

nafikiri mleta mada kuna kitu wawezekana umechanga katika kufikisha ujumbe wako.

IS ni chaka kwa sasa
 
Report from Georgetown centre on education and the workforce examined salary and unemployment data relating to experienced college graduate degree holders. The following are the 10 useless graduates.
3. Information systems.
You must be joking about this profession
 
source please

Tomato au chili?

Mbona kilakitu kinajieleza, nisinge andika nilicho andika bila ya kuwa na chanzo, hii habari niliikuta bbc na wao wametoa kwenye hicho kitengo cha utafiti, soma vizuri sredi.
 
ni kweli mkuu.ila useless sio neno sahiihi,sitetei sababu nasoma hizo course hapana mi sisomi hizo course

Yeah useless ni neno kali sana likiwa na maana fulani.
Sijalibuni hilo nino ndivyo walivyo liandika waliofanya huo utafiti. "USELESS GRADUATES"
 
They must be joking, are you certain?
Yes sir.... IS professionals are among the core component of any performing organization... unless 'useless' had a different meaning when used in such study (the main topic of discussion)....!!
 
Yes sir.... IS professionals are among the core component of any performing organization... unless 'useless' had a different meaning when used in such study (the main topic of discussion)....!!

It is not about its importance, its about employment and salary.
 
It is not about its importance, its about employment and salary.
As long as the use of computing technology prevails... IS pros' have the market.. Salary.. to me .. is subject to the power of one's negotiations skills...
 
Uko sahihi unachosema, ila wameangalia suala la salary and unemployment nadhani baadhi ya programe ni kazi sana kupata kazi na hata kama ukipata mshahara wake ni mdogo, mfano nmekutana na jamaa amesoma engineering aridhi amesota kupata kazi hivi sasa amejishikiza kwenye kufundisha na anasema wenzake walio ajiriwa wanalipwa mshahara mdogo sana kama 400 hivi wakati yeye huko aliko jibanza analipwa zaidi ya hapo.

Hizi degree programe zilizo ainishwa hapo kiukweli zina shida kwenye kupata kazi na hata ukipata unaweza ukawa unapata mshahara mdogo, mfano watu wa mass media sidhani kamaa wana mshahara mzuri kivile zaidi zaidi ni umaarufu tu ndio wanaupata na ukileta maringo wanakuruge.

aridhi or ardhi ..? bt engineering ipi aliyosoma hapo ardhi
 
Report from Georgetown centre on education and the workforce examined salary and unemployment data relating to experienced college graduate degree holders. The following are the 10 useless graduates.

10. Human resource and personel development.

9. Criminal justice and fire protection.

8. Commercial art and graphic design.

7. Music.

6. Mass media.

5. Marketing and market research.

4. Chemical engineering.

3. Information systems.

2. Pharmacy pharmaceutical science and administration.

1. Language and drama education.

Itasaidia kama utatupa full citation ya hiyo report ili tuweze kuisoma na kupata both context na content ya hiyo report ili tuweze kutoa informed comments.
 
Acha Ujinga Wako Hiyo Namba 6 Nadhani Imekosewa au Waliofanya Utafiti Wake ni Wapumbavu Kuliko Binadamu Wote Duniani. Hivi ni Nani Ambaye Hafuatilii Redio au Runinga au Kununua na Kusoma Magazeti na Machapisho Mbalimbali? Sasa Itakuwaje Ni Useless Wakati Inategemewa na Public Kiujumla? Zingine Zote Ni Mbaya ila Mass Media Ni Very Vital.

Baba wa babu yako aliishije?
 
Report from Georgetown centre on education and the workforce examined salary and unemployment data relating to experienced college graduate degree holders. The following are the 10 useless graduates.

10. Human resource and personel development.

9. Criminal justice and fire protection.

8. Commercial art and graphic design.

7. Music.

6. Mass media.

5. Marketing and market research.

4. Chemical engineering.

3. Information systems.

2. Pharmacy pharmaceutical science and administration.

1. Language and drama education.

Hapo kwenye chemical processing,na phamacy ondoa
 
Report from Georgetown centre on education and the workforce examined salary and unemployment data relating to experienced college graduate degree holders. The following are the 10 useless graduates.

10. Human resource and personel development.

9. Criminal justice and fire protection.

8. Commercial art and graphic design.

7. Music.

6. Mass media.

5. Marketing and market research.

4. Chemical engineering.

3. Information systems.

2. Pharmacy pharmaceutical science and administration.

1. Language and drama education.


Kuna raia wanasimamia kucha kuhitaji link ya hii tafiti.
Nnajiuliza hapo juu nmeandika jina la kituo kilicho fanya utafiti, sasa mnashindwa kufuatilia wenyewe? Maana kama huamini inabidi ufuatilie na ukiona sio kweli unatoa hoja ya kupinga.

Ok nmewaletea link hii ingieni mtafute.

Cew.georgetown.edu/unemployment2013/media.

aliyeiweka hiyo link naye ni binadamu.
 
Back
Top Bottom