Heading yao ni " [SUB][SUP]The 10 Most Useless Graduate Degrees" na sio "The most useless 10 graduates".[/SUP][/SUB][/COLOR][/SIZE]
Mkuu nadhani pia exposure inasaidia ingawa pia dhana .mbalimbali huchangia. Mfano
1. "mwanamke yeyote anayefanya kazi hospitalini ni nesi"
2. "mwanaume yeyote anayefanya kazi hospitalini ni daktari"
3. Kila anayevaa koti jeupe katika mazingira ya hospitali ni daktari"
It stay with the similar meaning, walicho angalia ni pamoja na employment opportunities mtu anazokuwa nazo kulingana na alichosomea.
Acha Ujinga Wako Hiyo Namba 6 Nadhani Imekosewa au Waliofanya Utafiti Wake ni Wapumbavu Kuliko Binadamu Wote Duniani. Hivi ni Nani Ambaye Hafuatilii Redio au Runinga au Kununua na Kusoma Magazeti na Machapisho Mbalimbali? Sasa Itakuwaje Ni Useless Wakati Inategemewa na Public Kiujumla? Zingine Zote Ni Mbaya ila Mass Media Ni Very Vital.
Hiyo pharmacy,pharmaceutical sciences & administration kwa hapa kwetu ni suala la muda tu!watahaha sana mitaani na vyeti kwani wanagraduate wengi sana na serikali haiwahitaji sana kwani hata wakiwa hospitali wanafanya kazi ambazo hata muuguzi anaweza kuzifanya ingawa wao hawawezi kufanya kazi yoyote zaidi ya kugawa dawa kwa mgonjwa!Mambo mengine ni mbwembe tu!Ila kuhusu Mass media inategemea sana competence yako!kama una kipaji na ubunifu utaipenda
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
kitu kama haukielewi vizuri ni bora kuuliza ili kuepuka kutapeliwa.wengine walidisko chuo. hebu kamuulize huyo mbuga kama amesajiliwa na baraza la wafamasia.Namfahamu jamaa mmoja anaitwa MBUGA, amemaliza hiyo kozi MUHAS (2004) saivi anafundisha Chemistry shule za sekondari na kutengeneza Learning materials kwa wanafunzi.
Namfahamu jamaa mmoja anaitwa MBUGA, amemaliza hiyo kozi MUHAS (2004) saivi anafundisha Chemistry shule za sekondari na kutengeneza Learning materials kwa wanafunzi.
Mkuu we ndio acha mbwembwe kwenye taaluma za watu. Kama unaweza jifunze zaidi kuhusu QUALITY OF TREATMENT. Kijijini kwetu hatujawahi kuwa na hata nesi tangu uhuru; kuna MCHA (Kama unaelewa); na maisha yanaenda. Wananchi ungewauliza wangejibu kama wewe: MD wa kazi gani? Hivi uanajua general doctors huku kwetu deal, kwa wenzetu hawana kazi? Eti wafamasia wanagawa dawa, lets say so (coz kwa idadi yao, sidhani); hujawahi kuona madaktari waki copy na ku paste prescription? Je hii inakufanya usione umuhim wangu kama dk? Hivi ukiondoa mambo ya Surgery etc ni muhudumu gani wa afya ambae hajasoma/anaweza kumtibu mtu magonjwa kama kisukari, TB, Malaria etc ambayo hata treatment procedures zake ni matangazo ya tv nowdays? JE HIYO INAKUFANYA USIONE UMUHIMU WA MADAKTARI? Hivi unagemeaje gonjwa sugu lipatiwe dawa maabara bila pharmaceutical development?Hiyo pharmacy,pharmaceutical sciences & administration kwa hapa kwetu ni suala la muda tu!watahaha sana mitaani na vyeti kwani wanagraduate wengi sana na serikali haiwahitaji sana kwani hata wakiwa hospitali wanafanya kazi ambazo hata muuguzi anaweza kuzifanya ingawa wao hawawezi kufanya kazi yoyote zaidi ya kugawa dawa kwa mgonjwa!Mambo mengine ni mbwembe tu!Ila kuhusu Mass media inategemea sana competence yako!kama una kipaji na ubunifu utaipenda
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
hapana tz hatujafikia huko huyu wako lbd hakuitim miaaka mitano....ni badae sana hawa watu kutosha
kitu kama haukielewi vizuri ni bora kuuliza ili kuepuka kutapeliwa.wengine walidisko chuo. hebu kamuulize huyo mbuga kama amesajiliwa na baraza la wafamasia.
Report from Georgetown centre on education and the workforce examined salary and unemployment data relating to experienced college graduate degree holders. The following are the 10 useless graduates.
10. Human resource and personel development.
9. Criminal justice and fire protection.
8. Commercial art and graphic design.
7. Music.
6. Mass media.
5. Marketing and market research.
4. Chemical engineering.
3. Information systems.
2. Pharmacy pharmaceutical science and administration.
1. Language and drama education.
Kuna raia wanasimamia kucha kuhitaji link ya hii tafiti.
Nnajiuliza hapo juu nmeandika jina la kituo kilicho fanya utafiti, sasa mnashindwa kufuatilia wenyewe? Maana kama huamini inabidi ufuatilie na ukiona sio kweli unatoa hoja ya kupinga.
Ok nmewaletea link hii ingieni mtafute.
http://www.businessinsider.com.au/the-10-most-useless-graduate-degrees-2013-9.