The Most 5 skilled RAPPER in Bongo Hip Hop Of All Time.

The Most 5 skilled RAPPER in Bongo Hip Hop Of All Time.

Stamina ni comedian rapper anatumia misemo ya vijiweni sana kuteka hadhira..Lord eyez nilimpa 5 kwenye wimbo wa "Hawatuwezi" walioimba kama kundi ukimsikiliza kwenye hiyo nyimbo utakubali he is good,ila nadhani sembe ndo imempoteza kwenye mziki hawezi rudi tena tukafaidi radha ya muziki wake
hata kwenye ngoma nzito lord alitisha sana
 
NASH MC BONTA NIKI MBISHI AFANDE SELE awa jamaa nacho wakubali maisha ya hip hop wanayaishi Pamoja na SONGA kuna wengine mmewataja wanafanya hip hop wanatabia za kike kujipendekeza kwingi majungu
 
Solo thang nilimkubali kwenye albamu yake ya "Homa ya Dunia" humo ndo mwanaume aliimba ndomana unaona hata kwenye nyimbo aloshirikishwa ya mtazamo alinata hadi unamkubali,ila baada ya hapo anaimba utumbo tu
Heheheh eti anaimba utumbo tu...
 
"Social maniac, post: 17982795, member: 361969"]Mleta mada huyo nickmbish ni mburudishaji sawa na densa tu kwani baada kushinda mkali wa free style na kuachia wimbo wa play boy kashindwa ishawishi hadhira yeye ni msanii kabaki kuwa msanii wa harakati tu na kulaumu laumu kazidiwa hata na Godzilla ambaye wote walijulikana kupitia lile shindano la free style kwaiyo nickmbish mtoe hapo

Vile vile JCB mtoe hata kama unamini anajua uthibitisho upo wapi yani kazi zake zinazoweza mshawishi mtu akamini kuwa uyu ni bora

Fid Q sawa
J MO sawa
Prof sawa na hakuna Mc akili smart kama uyu wote waimbe ila prof atabaki kuwa the best ever kwani tungo zake zinaisha milele
Single ngapi za nikki unazijua?[/QUOTE]
Tatizo unaongozwa na mahaba sio weredi tambua hawa ni wasanii tunawapima kutoka na kazi zao zilivyopata mwitikio katika jamii si kisa msanii karekodi nyimbo ngapi hata kama ana nyimbo mia ila kama hazifikii jamii na kuwa na mchango wake uwezi muweka hapo uyo nick kiuandishi wa mashairi yenye mwitikio katika jamii hata kala jeremaya ana mziki

Nick mbishi ni mburudishaji hana uwezo wakukaa chini na kuandika wimbo mzuri uliobena dhamira inayoeleweka yeye anajua kutafuta vina tu basi

Kwanza umefanya kosa kubwa sana kumuweka kundi moja na kina prof Jay, Fid , na J mo[/QUOTE]
Ngoja nikueleze kidogo kinachoendelea apa, hatuongeleo kuhusu hits( cz kama tuongelea hits nadhani akina joh, billnas,Ay, fa, izzo n.k wangejaa humu) ila tuongelea skills and talents katika hip hop.
On top of that if we talk about singles zenye ujumbe wa kufika jamii nikki mbishi anazo kibao, you only need to buy his albam and mixtapes. Kwanini nakwambia ununue albam au mixtape? Ni kwa sababu media zetu nyingi zinabase kwa wasanii wachache, mostly commercial rappers and not concious rappers.
Kala jeremiah anaweza kurap, single zake zinapigwa but when it comes to skills, rhymes, lyrics, wordplays, freestyling (though most bigfish rappers apa bongo hawawezi) anaweza kulingina na nikki?
Lazima ifike mahali tukubaliane kuna some hip hop artists apa bongo ambao wanasogea kwa sababu tu wanajua kuandika na kufoka but skill wise wapo chini sana.
 
NASH MC BONTA NIKI MBISHI AFANDE SELE awa jamaa nacho wakubali maisha ya hip hop wanayaishi Pamoja na SONGA kuna wengine mmewataja wanafanya hip hop wanatabia za kike kujipendekeza kwingi majungu
Ukiongelea watu wanaoyaishi maisha ya hip hop usimsahau jay moo kumbuka maisha ya boarding na story tatu
 
dizasta vina namkubali kwa flow, anastick kwenye content dah ukiskiliza kazi zake unafeel uhalisia wa hip hop but he is underrated
 
Yeah jamaa wapo vizuri especially wakazi..ila hawana ile hali ya kuingia kwe kichwa cha msikilizaji....aliyekua nayo mtu ka langa...sikiliza kimbia ya langa na babuu au ni hayo tu kuna mistari hata miaka 10 haipotei...au sugu ana miaka chini ya 15 au niko mikononi mwa polisi
Isikie goma la nikki mbishi ft wakazi la priceless jamaa wameuaa sana

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
A

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiphop gani waimbaji wenyewe wengine wamevaa kama mabinti na kulegealegea?
 
Back
Top Bottom