"Social maniac, post: 17982795, member: 361969"]Mleta mada huyo nickmbish ni mburudishaji sawa na densa tu kwani baada kushinda mkali wa free style na kuachia wimbo wa play boy kashindwa ishawishi hadhira yeye ni msanii kabaki kuwa msanii wa harakati tu na kulaumu laumu kazidiwa hata na Godzilla ambaye wote walijulikana kupitia lile shindano la free style kwaiyo nickmbish mtoe hapo
Vile vile JCB mtoe hata kama unamini anajua uthibitisho upo wapi yani kazi zake zinazoweza mshawishi mtu akamini kuwa uyu ni bora
Fid Q sawa
J MO sawa
Prof sawa na hakuna Mc akili smart kama uyu wote waimbe ila prof atabaki kuwa the best ever kwani tungo zake zinaisha milele
Single ngapi za nikki unazijua?[/QUOTE]
Tatizo unaongozwa na mahaba sio weredi tambua hawa ni wasanii tunawapima kutoka na kazi zao zilivyopata mwitikio katika jamii si kisa msanii karekodi nyimbo ngapi hata kama ana nyimbo mia ila kama hazifikii jamii na kuwa na mchango wake uwezi muweka hapo uyo nick kiuandishi wa mashairi yenye mwitikio katika jamii hata kala jeremaya ana mziki
Nick mbishi ni mburudishaji hana uwezo wakukaa chini na kuandika wimbo mzuri uliobena dhamira inayoeleweka yeye anajua kutafuta vina tu basi
Kwanza umefanya kosa kubwa sana kumuweka kundi moja na kina prof Jay, Fid , na J mo[/QUOTE]
Ngoja nikueleze kidogo kinachoendelea apa, hatuongeleo kuhusu hits( cz kama tuongelea hits nadhani akina joh, billnas,Ay, fa, izzo n.k wangejaa humu) ila tuongelea skills and talents katika hip hop.
On top of that if we talk about singles zenye ujumbe wa kufika jamii nikki mbishi anazo kibao, you only need to buy his albam and mixtapes. Kwanini nakwambia ununue albam au mixtape? Ni kwa sababu media zetu nyingi zinabase kwa wasanii wachache, mostly commercial rappers and not concious rappers.
Kala jeremiah anaweza kurap, single zake zinapigwa but when it comes to skills, rhymes, lyrics, wordplays, freestyling (though most bigfish rappers apa bongo hawawezi) anaweza kulingina na nikki?
Lazima ifike mahali tukubaliane kuna some hip hop artists apa bongo ambao wanasogea kwa sababu tu wanajua kuandika na kufoka but skill wise wapo chini sana.