kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
- Thread starter
- #61
kiwatengu asante sana kunikaribisha kwenye siku ya kipekee ya mpendwa wako shansarie. Namtakia kila la heri katika siku yake hii muhimu na akawe na maisha mema na yenye furahaa
miss chagga kanitema bana kapata buzi lenye pesa na akina Asprin na Kaiser na pedeshee la mjini arusha one na kale katoto kanakokuja kwa kasi Tized wala hanikumbuki tena nimerudi kwa mke wangu Dena Amsi bana
Thank u bro.
miss chagga ni hela, hela na yeye!!
msalimie sana Dena Amsi...
shemeji measkroni kapotelea wapi?
Last edited by a moderator: