kiwatengu asante sana kunikaribisha kwenye siku ya kipekee ya mpendwa wako shansarie. Namtakia kila la heri katika siku yake hii muhimu na akawe na maisha mema na yenye furahaa
miss chagga kanitema bana kapata buzi lenye pesa na akina Asprin na Kaiser na pedeshee la mjini arusha one na kale katoto kanakokuja kwa kasi Tized wala hanikumbuki tena nimerudi kwa mke wangu Dena Amsi bana
kiwatengu asante sana kunikaribisha kwenye siku ya kipekee ya mpendwa wako shansarie. Namtakia kila la heri katika siku yake hii muhimu na akawe na maisha mema na yenye furahaa
miss chagga kanitema bana kapata buzi lenye pesa na akina Asprin na Kaiser na pedeshee la mjini arusha one na kale katoto kanakokuja kwa kasi Tized wala hanikumbuki tena nimerudi kwa mke wangu Dena Amsi bana
duh, sijui mwanzoni sikuelewa somo.
Nashukuru sana kwa mwaliko wako mkuu kiwatengu.
Na mie kutoka siasani nasema nitakaribia sambamba na home boy asakuta same.
Happy birthday shansarie
BTW niliamua tu kukumilikisha kimtindo...
i know how much u hate the people from North!!