The Most Humiliating NBA Draft Picks Of This Millennium: Hasheem Thabeet

Ana laana ya Watanzania. Kipindi flani alipokuja alizoza mbovu sana pale clouds. Nakumbuka alisema kuwa hakuna mtu aliyemsaidia kufika hapo alipofika so na yeye haoni haja ya kusaidia wengine... Can u imagine?
 
Ndo maana unaambiwa kipimo au utaratibu mzuri wa kujijenga katika kipaji au maendeleo binafsi huanza mdogomdogo taratiibu graph ina incline yenyewe.
Hashim Thabit mafanikio yake kwenye game yalikuwa ya ghafla mno. Huwa sielewi sijui wazungu walipapatika na urefu wake au yeye mwenyewe tu alichukulia rahisi fursa ya yeye kuwepo kwenye chart ile akalewa sifa na kushindwa kukaza?!
I feel sorry for you my young... Stretch yourself probably they will re-glance at you and prove to them that you deserve enough to be where you been.
 
hahaha...eti ukiporomoka tunakukuta shimoni huko....kama mr nice vile
 
Kamuulizeni jokate, na rafiki zake pale Samaki samaki mlimani city..
 
mshahara anafanya kazi wapi?

hapa hatumpigi majungu.. tunaongea nini kimemkuta aliyekuwa mwakilishi wa taifa nba.

naomba utuambie kwa facts sasa hivi hasheem anafanya kitu gani na kama anacheza ni timu gani?

...huyo Hasheem bado yuko juu zaidi wengi wetu humu,kwa mshahara aliokuwa analipwa hata kwa mwezi tu,ni mkubwa!

....tuhangaikie ya kwetu, tuachane na ya wenzetu!
 
Cheki hapo wenzake bado wapo NBA tena they're doing very good,yeye I wonder Yupo wapi now aday very sad kijana.
Wewe na Hashimu nani ana maisha mazuri?
Labda useme kachezea career ila sio maisha.
 
Asilimia kubwa ya wachezaji wa NBA Wakiondoka hufilisika sanaaa....
 
arudi bongoland sasa. aje awakochi na madogo wengne mbona vipaji vingi tu pale makongo alipotoka yeye!!? btw wabongo tunajisahau na kujiachia.
 
Hivi mnaposema kachezea maisha mnamaanisha nini .............Hana pesa kafulia au ........... Au ni vile hayupo NBA ???
 
Tatizo na yeye kacopy hajaelewa ndio maana amekua mkali si unakumbuka kipindi cha shule pale mwalimu anapoulizwa swali gumu anakua mbogo au utasikia hio ndio homework ya leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…