The Most Humiliating NBA Draft Picks Of This Millennium: Hasheem Thabeet

Wabongo bwana,kiwango kushuka na kuchezea pesa ni vitu viwil tofaut.swali ni kwamba kwann mnasema kachezea pesa
 
Dah hii comment imenichekesha sana
 
hakeem olajuwon mpaka anafika miaka kumi na tano(15) hata kudunk alikuwa hawezi...Hardwork & determination..
 
Achana Na Steph "chef" Curry,,,,,majuzi Tu Kuna Dogo Wa Kuitwa Kristap Porzingis Siku Ya Draft Watu Walimzomea Leo Hii Ukitaja Mastaa 30 Kwenye Nba Namba 28 Mpaka 30 Porzingis Hakosi,,,,,mie Imeniuma Sana Kwamba The Beet Amepotea Ghafla Na Bora Angecheza Well Msimu Mmoja Tu Akapotea 2ngesema "remember That Season" Lakini Carreer High Ya Jamaa Ni Point 10 Na Average Ya 2.2 Hajawah Hata Pata Double Double WTF
 
SChwazzeneger(hata Mie Sina Uhakika) Hakuwah Kuanguka,,,he Wast The Best In Body Building Became The Best In Hollywood Then Became The Governor,,,,he Never Flopped,the Beet Flopped,
 
SChwazzeneger(hata Mie Sina Uhakika) Hakuwah Kuanguka,,,he Wast The Best In Body Building Became The Best In Hollywood Then Became The Governor,,,,he Never Flopped,the Beet Flopped,

Sikuwa namaanisha maanguko bali...nilikuwa najaribu kuonyesha jinsi gani hiyo nchi ilivyojaa oppotunity kwa hard workers.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…