The Network: Abdul kiungo muhimu kati ya Rostam Aziz na Mukhsin Patel upande mmoja na Sameer Karim Alibhai na W. Salum upande mwingine

Ex Spy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2007
Posts
222
Reaction score
1,827
Kuna mambo mengi yatafunuka ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na huu mtandao.

Kwanini tunarudishwa kwenye ujinga uleule?

Rostam, you can do better than this! Enzi za JK hukujifunza mzee?

Elewa kuwa kila hatua, kila kinachofanyika - viko well documented. Ni suala la muda tu.
 
Jambo la kusikitisha ni kwamba hata ya kufumuka wataendelea kula na la kufanya hamna. Unajua kuna muda unafika viongozi wanasema hata wakijua watafanya nini.
 
Kwani ameshashinda uenyekiti ccm Tabora!!?
 
Even if it’s well Documented so what πŸ™„?

They are also well prepared for anything to come whatsoever 😳
Shamba la Bwana Heri ………

Umemention enzi za JK , kwani kipi kimefanyika mpaka saa hii ?
Na kipi unafikiri kitafanyika baada ya hicho ulichokisema- ni suala la muda tu ???😳🀠🀠🀠
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…